LDA COMPANY
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 340
- 633
Habarini ndugu zangu wana jf.
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada nina degree ya Accounting and Finance, nilkuwa natafuta kazi kwa upande wa Arusha au Moshi.
Mimi ni kijana jinsia mwanaume, umri miaka 26 niko vizuri kwenye uhasibu na mambo ya fedha kiujumla niko vizuri kwenye accounting packages na excel naombeni ushirikiano wenu wa dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba niende moja kwa moja kwenye mada nina degree ya Accounting and Finance, nilkuwa natafuta kazi kwa upande wa Arusha au Moshi.
Mimi ni kijana jinsia mwanaume, umri miaka 26 niko vizuri kwenye uhasibu na mambo ya fedha kiujumla niko vizuri kwenye accounting packages na excel naombeni ushirikiano wenu wa dhati.
Sent using Jamii Forums mobile app