Haunywi maji ya kutosha.WanaJF habarini za leo!Ninaomba mwenye kujua huu ugonjwa wa kupasuka sehemu za mdomoni unatibiwaje naomba msaada!Mdomo unajichana na kutoa damu hasa kipindi hiki cha baridi!!!MSAADA TAFADHALI!!!
Naomba ushauri zaidi!Ni mafuta aina gani yanafaa?Paka mafuta kwenye lips, hiyo ndio dawa na tiba.
Nakushukuru sana!Tumia hako kadudeView attachment 3426818
Nashukuru sana,lakini hivyo vyakula ninavitumia,sema ukifika msimu wa baridi inatokea sanaSolutionLip balm. Quick/temporary remedy
Tiba kuu
Ongeza vitamins kwa kula matunda na mbogamboga
Vitamin C inahitajika waeza kutumia supplements au matunda jamii ya limao/lime. Mf. machungwa.