Kuota ukiwa shule

Au siku ya Necta unajikuta umechelewa kuingia chumba Cha mtihani mbaya zaid hujui hata room unayofanyia mtihani mazingira kimyaaa kuashiria mtihani ushaanza hujui hata umuulize nani.
 
Mkuu type uzoefu kuhusu kutatua hivo vitendawili
 
Hamna ambae haoti hizo ndoto, alafu hao watafsiri ndoto ni waongo kichizi yaani... ipo hivi ukijiona kwamba ulipo ni kwa sababu hukusoma basi utaota masuala ya shule kwa kuwa akili yako yote inakuambia kwamba kama ungesoma usingekuwa kwenye hali ambayo upo sasa kitu ambacho si kweli, Pia kumbukumbu za matukio yale ya muhimu hujirudia mf: unakuta unaota upo na marafiki wa shule wa zamani n.k, Hiyo hutokea maana katika kipijdi kirefu umekuwa mazingira ya shule hivyo kumbukumbu hubaki akilini siku zote.
 


Maana yake tafuta mke.
 
Ndoto za kiwaki ila nahis hii inawapata wale watu waliyokuwa wasongo yaani soma soma Kila muda hawana issue zingine zaid ya kitabu tu
Yaaah kweli mkuu
Shida mtoto wa peasant..hauna cha kurithi zaidi ya elimu na bado nyuma kuna watu wanakutazama kama msaada..lazima iwe ni kitabu muda wote..wana walikuwa wana usemi wao wanasema 'umetumwa na ukoo'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…