Wakuu hali ni mbaya, joto limeongezeka maradufu , sehemu nilipo niewasha feni ila joto linasoma nyuzi joto 29C hali ni mbaya kunyweni maji mengi sana. Noamba kuwasilisha
Wakuu hali ni mbaya, joto limeongezeka maradufu , sehemu nilipo niewasha feni ila joto linasoma nyuzi joto 29C hali ni mbaya kunyweni maji mengi sana. Noamba kuwasilisha
Wakuu hali ni mbaya, joto limeongezeka maradufu , sehemu nilipo niewasha feni ila joto linasoma nyuzi joto 29C hali ni mbaya kunyweni maji mengi sana. Noamba kuwasilisha
Nyie watu wanakata miti maporini kutengeneza mikaa mnategemea mpate hali nzuri ya hewa!
Serikali imekaa kimya na wananchi wengi walivyo wajinga wanaona ni kitu cha kawaida.
Ndio maana wwnye CCM wanatamba kwa kusema kwenye majukwaa tutatawala milele sababu wamewafanya watanzania walio wengi kuwa wajinga kwa kutowapa elimu bora