Kama bado hujafikisha miaka 19 unaweza kuanza mazoezi ya ku stretch mwili utarefuka, mimi nilikuwa mfupi mpaka namaliza form four nilikuwa kama mtoto wa form one,
Nikaingia youtube nikaanza mazoezi ya kurefuka ndani ya mwaka tu nikarefuka sasaivi ni mrefu nina futi sita na point.