Kuonekana kwa comred Kinana

Kuonekana kwa comred Kinana

Kwa vyovyote vile Kinana hayupo sawa, ni mtu wa mawazo hata furaha hana. Nimemuona sura yake. Haihitaji utalamu sana kujua hilo
 
Ndani ya CCM na Serikali bado moto unafukuta. Mwigulu kuja humu juzi na kumpiga dongo uchwara inaonyesha hali halisi. Mtapaka poda na mafuta uzuri kutoa rushwa ya mamilioni na vyeo lakini bado CCM haiko shwari na nchi bado inaenda mrama kama gari bovu.
Tunangoja menyeviti wa mikoa wakokatwa ndio utajua ccm ina wenyewe.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kulizuka comment za Kinana kutoonekana kwenye vikao vya CCM ikafika hadi dhana ya kujiengua kimyakimya hivi kaonekana juzi jana kwenye hivo vikao watu kimya. Hili linaashiria nini hasa kimtazamo.
Muwasho umewaongezeka baada ya kumuona anavyowamaliza kwa kupokea vijana wao
 
Back
Top Bottom