Kwakweli....Ndio wajibu wake, watu wangeongea kama hasingeonekana tena safari hii. Ni wajibu wa katibu mkuu wa chama kuwepo kwenye vikao vya juu vya chama. Hasipoonekana kwa sababu zisizo na mashiko ndipo huzua maswali na hayo maneno unayoyasema.
Pigo lingine hilo kwa chagademaKulizuka comment za Kinana kutoonekana kwenye vikao vya CCM ikafika hadi dhana ya kujiengua kimyakimya hivi kaonekana juzi jana kwenye hivo vikao watu kimya. Hili linaashiria nini hasa kimtazamo.
Hamzidi Mzee Philip Mangula au hayati Rashid Kawawa.Katibu mkuu bora kabisa kupata kutokea tangu ccm izaliwe!
Hawa jamaa kila wanachoomba, kinabuma! Ni ishara ya laana toka juu mbinguni.Pigo lingine hilo kwa chagadema
Hakika umenena!Hawa jamaa kila wanachoomba, kinabuma! Ni ishara ya laana toka juu mbinguni.
Wote ni wana ccm!Hamzidi Mzee Philip Mangula au hayati Rashid Kawawa.
Pamoja mkuu!Wote ni wana ccm!
Anamfikia Mangula??Katibu mkuu bora kabisa kupata kutokea tangu ccm izaliwe!