Kuomba kura 'live', Bunge 'muda wa kazi'

DR. MWAKABANJE

JF-Expert Member
Nov 7, 2012
1,976
3,129
Habari!

Nami kama mtanzania huru nawasilisha masikitiko yangu makubwa juu ya kinachoendelea bungeni kutokurusha matangazo yake moja kwa moja kwa visingizio visivyo na mashiko wala maendeleo kwa taifa.

Najiuliza na kutafakari kwa sauti, mbona wakati wa kampeni vyama mbalimbali vya siasa hasa CCM na "UKAWA " waliweza kufanikisha na hawakiona tatizo kuwa live kwenye TV kwa nini tumewachagua hawataki tuwaone na kuwasikia wakiwakilisha hoja zetu?

Je wakati wa kampeni watanzania tulisimama kufanya kazi kiasi kwamba tulikuwa na muda wa kutazama kampeni zao leo tumemaliza mapumziko?

Je ni kweli kuwa vyama vya siasa vina pesa kuliko serikali yangu pendwa kiasi kuwa serikali haina uwezo wa kulipia? Kama ni hivyo vyama vya siasa kuwa na nguvu kuliko serikali/nchi basi tupo hatarini!

Ounce your right to receive information is denied by the time you come to realize you will have been disinformed!
 
kampeni za uchaguzi na kikao cha bunge ni vitu viwili tofauti
nenda kafanye kazi brother
 
Habari!
Mkurugenzi-wa-Hotel-Desderia-Co-Ltd-Mr-Joseph-Mbilinyi-na-Eng.-Chao-Nan-wa-kampuni-ya-ukandarasi-Home-Africa-Investment-Co-Ltd-ya-China-wakisaini-mkataba-wa-ujenzi..jpg

Nami kama mtanzania huru nawasilisha masikitiko yangu makubwa juu ya kinachoendelea bungeni kutokurusha matangazo yake moja kwa moja kwa visingizio visivyo na mashiko wala maendeleo kwa taifa.

Najiuliza na kutafakari kwa sauti, mbona wakati wa kampeni vyama mbalimbali vya siasa hasa CCM na "UKAWA " waliweza kufanikisha na hawakiona tatizo kuwa live kwenye TV kwa nini tumewachagua hawataki tuwaone na kuwasikia wakiwakilisha hoja zetu?

Je wakati wa kampeni watanzania tulisimama kufanya kazi kiasi kwamba tulikuwa na muda wa kutazama kampeni zao leo tumemaliza mapumziko?

Je ni kweli kuwa vyama vya siasa vina pesa kuliko serikali yangu pendwa kiasi kuwa serikali haina uwezo wa kulipia? Kama ni hivyo vyama vya siasa kuwa na nguvu kuliko serikali/nchi basi tupo hatarini!

Ounce your right to receive information is denied by the time you come to realize you will have been disinformed!
Wakati wewe unalilia Kuangalia bunge LIVE kUANGALIA WABUNGE AMBAO WAKO kazini wAKIWA TAYARI WASHASAINI POSHO,Wenzako WANAJENGA MAJUMBA NA KUSOMESHA FAMILIA ZAO MAJUU.

======================================
=============================================

Msanii mkongwe wa Hip Hop na mbunge wa Mbeya mjini, Mh Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ ameachia wimbo wake mpya ‘Freedom’ ambapo ndani ya wimbo huo amezungumzia mambo mbalimbali yakiwemo mafanikio yake.

Katika kibao hicho kilichoandaliwa katika studio za MJ Record chini ya producer Marco Chali, Sugu ameelezea jinsi alivyoweza kupambana mpaka kufanikiwa huku alionyesha zaidi kumshukuru mama yake.

Suguee.jpg

Katika ‘Verse’ ya pili ya wimbo huo, Sugu amesema “Mama Hemedy mwanao nimefika mbali, maisha yana afadhali nakomaa ili nisifeli, kiukweli hata mwenyewe najikubali najenga mpaka hoteli?,” .

Pia hivi karibuni kupitia ukurasa wake wa instagram alipost picha ya ujenzi wa hoteli hilo na kuandika: Mkurugenzi wa Hotel Desderia Co Ltd Mr Joseph Mbilinyi na Eng. Chao Nan wa kampuni ya ukandarasi Home Africa Investment Co Ltd ya China wakisaini mkataba wa ujenzi. Kampuni hiyo itajenga hotel ya nyota 3 itakayoitwa Hotel Desderia jijini Mbeya na ujenzi unaanza mara moja kwa mkopo wa bank ya CRDB.

Katika post nyingine ya hivi karibuni aliandika: Mkurugenzi wa Hotel Desderia Co. Ltd ya jijini Mbeya Joseph Mbilinyi akiwa kwenye makabidhiano ya site na wakandarasi wa Home Africa Investment Corp Ltd ya China… Mchakato wa ujenzi wa hotel hiyo ya nyota 3 umeanza rasmi leo… Mungu aendelee kubariki. Amen.
Sugu.jpg
 
Back
Top Bottom