Kuomba AVN Number kumenitoa jasho msaada

Kuomba AVN Number kumenitoa jasho msaada

Very poor

JF-Expert Member
Joined
Apr 26, 2020
Posts
403
Reaction score
589
Ni matumain yangu mpo salama nahitaji msaada Kwa hili,

Wakuu sijui kama ni Mimi tu.

Nilikuwa najaribu kumuombea AVN number mdogo wangu nimeanza hatua ya kwanza vizuri hadi nikapewa password na username (NAVS).

Lakin chakushangaza Kila nikijaribu kulogin Ili niendelee natartibu zingne system Inaniambia password or username is incorrect, nimejaribu mpka nimetokwa na jasho.

Je, hili tatzo ni kwangu pekee au Kuna mwingne imeshamtokea, na nini nifanye Ili kuendelea na process.
 
Ni matumain yangu mpo salama nahitaji msaada Kwa hili,

Wakuu sijui kama ni Mimi tu.

Nilikuwa najaribu kumuombea AVN number mdogo wangu nimeanza hatua ya kwanza vizuri hadi nikapewa password na username (NAVS).

Lakin chakushangaza Kila nikijaribu kulogin Ili niendelee natartibu zingne system Inaniambia password or username is incorrect, nimejaribu mpka nimetokwa na jasho.

Je, hili tatzo ni kwangu pekee au Kuna mwingne imeshamtokea, na nini nifanye Ili kuendelea na process.
angalia kwenye message ya kawaida kama kuna ujumbe wametuma ?
kama hakuna fanya ku reset password.. alafu angalia message ya kawaida
 
Ukishindawa nenda ofisin kwao. Unapata avn siku hiyohiyo
 

Attachments

  • IMG_5205.jpg
    IMG_5205.jpg
    58.5 KB · Views: 11
Kweli sijui mengi..avn ni nini wakuu au ngoja nijiongeze nika Google
 
�A𝗻𝗴𝗮𝗹𝗶𝗮 𝗺𝘁𝗮𝗻𝗱𝗮𝗼 𝗽𝗶𝗮 𝗰𝗹𝗲𝗮𝗿 𝗱𝗮𝘁𝗮 𝘇𝗼𝘁𝗲 𝗰𝗵𝗿𝗼𝗺𝗲 𝗮𝗻𝘇𝗮 𝘂𝗽𝘆𝗮
 
aise au nimetengeza control no ya kulipia meli
Kulingana na hiyo attachment uliyoituma hapo...kuna watuwaliohitim diploma kuanzia 2015..wao walishaanza kutumia Mtaala mpya na kulianzishwa kitu kinaitwa NTA levels...hivyo wao hulipia 10 ila wale waliosoma nyuma ya hapo...inaitwa Non NTA ...20 inahusika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom