Kuomba advanced diploma baada ya kukosa degree

Kuomba advanced diploma baada ya kukosa degree

intro

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
308
Reaction score
328
Habari zenu wakuu..
Kama kichwa kinavyoeleza hapo juu,kwa ufupi Mimi in kijana niliyefanikiwa kuonja ladha ya elimu ya chuo.Nimesoma chuo Fulani maarufu hapa nchini course ya accountancy(BACC).Sasa kutokana na changamoto za ada nikashindwa kumaliza mwaka wangu WA tatu chuo.

Kutona na hilo ilibidi niingie kitaani nipambane nikiamini si elimu tu inaweza kunitoa kimaisha.Sasa katika hustling zangu za hapa na pale nimekutana na changamoto kwamba michongo mingine hupati bila kuaminika na vyeti kwamba umesoma(which is hopeless).

Katika stori za hapa na pale chuo nilishawahi kusikia kwamba ukimaliza first two years za degree unaweza kuwa entitled na advanced diploma.
1.Je hili Lina ukweli wowote?
2.Ni vyuo vyote au baadhi?(nimesoma serikali)
3.Asanteni na karibuni.
 
Yes lina ukweli , kwa uelewa wangu inabidi chuo husika watoe ile kitu inaitwa NTA levels, so ili upate advanced diploma lazima umalize NTA level 7, ndo utapata gamba lake la sivyo ni bure
Na vyuo vyenye NTA nadhani ni Taasisi mfano DIT,TIA,ATC...
 
Yes lina ukweli , kwa uelewa wangu inabidi chuo husika watoe ile kitu inaitwa NTA levels, so ili upate advanced diploma lazima umalize NTA level 7, ndo utapata gamba lake la sivyo ni bure
Na vyuo vyenye NTA nadhani ni Taasisi mfano DIT,TIA,ATC...
Shukran mkuu kwa kunielewesha hili.
 
nahitaji mawazo yenu ili nianze kufanya maamuzi ya safari haraka iwezekanavyo.
 
Re do your research!


Yes lina ukweli , kwa uelewa wangu inabidi chuo husika watoe ile kitu inaitwa NTA levels, so ili upate advanced diploma lazima umalize NTA level 7, ndo utapata gamba lake la sivyo ni bure
Na vyuo vyenye NTA nadhani ni Taasisi mfano DIT,TIA,ATC...
QUOTE no
 
Ni vyema ungetaja jina la chuo na mwaka uliosoma ili tukupe ushaur with detailed infos.

Ukiwa una shida mambo ya kuficha ficha acha utashindwa kupata msaada.
 
Yes lina ukweli , kwa uelewa wangu inabidi chuo husika watoe ile kitu inaitwa NTA levels, so ili upate advanced diploma lazima umalize NTA level 7, ndo utapata gamba lake la sivyo ni bure
Na vyuo vyenye NTA nadhani ni Taasisi mfano DIT,TIA,ATC...
DIM pia
 
Ni vyema ungetaja jina la chuo na mwaka uliosoma ili tukupe ushaur with detailed infos.

Ukiwa una shida mambo ya kuficha ficha acha utashindwa kupata msaada.
cbe Dom mwaka 2013/2016
 
Upate prospectus ya chuo chako ya miaka hiyo halafu usome sheria zake vinginevyo cheki na NACTE watajua sheria husika. All the best.
 
Advanced Diploma sio kwamba ilifutwa matumizi na kisomo chake!!?
 
Habari zenu wakuu..
Kama kichwa kinavyoeleza hapo juu,kwa ufupi Mimi in kijana niliyefanikiwa kuonja ladha ya elimu ya chuo.Nimesoma chuo Fulani maarufu hapa nchini course ya accountancy(BACC).Sasa kutokana na changamoto za ada nikashindwa kumaliza mwaka wangu WA tatu chuo.

Kutona na hilo ilibidi niingie kitaani nipambane nikiamini si elimu tu inaweza kunitoa kimaisha.Sasa katika hustling zangu za hapa na pale nimekutana na changamoto kwamba michongo mingine hupati bila kuaminika na vyeti kwamba umesoma(which is hopeless).

Katika stori za hapa na pale chuo nilishawahi kusikia kwamba ukimaliza first two years za degree unaweza kuwa entitled na advanced diploma.
1.Je hili Lina ukweli wowote?
2.Ni vyuo vyote au baadhi?(nimesoma serikali)
3.Asanteni na karibuni.
Waulizee hao hao waliokudanganya
 
Nkusaidie navyoelewa mimi kama kweli una maanisha na sio kutuchora.
1. Advance Diploma ni equivalent to Bachelor Degree, hvyo huwez sema uchukue one of those kwa kukosa the other; ila tu cku hizi hamna Chuo kinahotoa Advance Diploma
2. Kuna Taasisi/Vyuo vilivyosajiliwa na na NACTE na kutoa awards za NTA ambazo kwa Bachelor Degree ni sawa na NTA 8, hivyo mtu alyefanya two years za Degree husika akiamua kuishia hapo anakuwa awarded NTA 7, ambayo can be termed as Higher Diploma (usichanganye na Advance Diploma). Huyu anaekuwa awarded NTA 7 can later gon top up his one year na hence kuwa awarded NTA 8 ambayo ndio Bachelor Degree.

So, kama ulisoma ktk mfumo wa NTA itakua ulkuwa ukifahamu hii kitu, na utakuwa ulipewa cheti chako. kama ulisoma ktk vyuo visivyotumia NTA system then kaanze tu moja kusoma tena.

Hope this has helped u and others.
 
ADVANCE DIPLOMA NI EQUIVALRNT TO ASSOCIATE DEGREE KWA VYUO VYA NJE
HATA KTK RANK ZA MISHAHARA NAONA WAPO SAWA NA DEGREE KWA KIASI KIKUBWA

NI VYEMA URUDI KUWAULIZA CHUO CHAKO KAMA WANA HYO SYSTEM
 
Back
Top Bottom