Nini mate dada ushawahi kuwaona wale wa pale Ilala walivyowachafu? sipati picha mtu akiwa anasukwa kisogoni mana yabidi uwageukie kichwa unaweka katikati ya mapaja yao ... mh! Ama kweli urembo kazi!!
Hehe dada nimekumbuka haya uninambia nikukumbushe maana unaniicourage kuwa sometimes kuwa 'mkorofi' inalipa.....
hao wa mate na mie niliwaonea pale bungoni, anakusokota kidogo anatemea mikono mate anakusokotea kwenye paja, khaa nilichoka.
MwanajamiiOne
Kwa ufupi wewe sijui manjonjo yako yanafananane, hasa ukiwa kwenye 18 zako!!!he he heeeeheeeee...watuuuuuuuuu!!
Lakini , kwa wanawake wengi, masssaging ni kama kwenda kwenye mwezi, hawaijui!
Kwani uwongo?
Nenda Kwenye Massaging Parlour kibao hapo kwenu, uone wababa waziiima na ndoa zao nzuuuri, na wake zao wareembo ajabu, lakini mababa hao wanagalagala kama nyangumi pindi wanapo`massejiwa na warembo wa humo..
Akitoka hapo yuko freeesh, wala hana habari na karaha za huyo anayejiona mrembo wa nyumbani..!
Nyamayao,
Sa si unaona siri hizo za ziada za manywele yenu!
Kumbe kuna mate ya Mmasai tena?
Basi poleni sana, urembo ni kazi kwelikweli!
MwanajamiiOne amesema inabidi time flani uchungulia kwenye dud* ya Mmasai...mmmmmhhhhh!!!!. ukizingatia kwamba wale watu hawavai chup*!!!
Mbona hamtuambii hii mambo mkjia nyumbani?
Mi tangu saa hii namoiga mamsapu kuenda kwa hao Wamasai!
Au mtasema namnyanyasa?
Nyamayao,
Sa si unaona siri hizo za ziada za manywele yenu!
Kumbe kuna mate ya Mmasai tena?
Basi poleni sana, urembo ni kazi kwelikweli!
MwanajamiiOne amesema inabidi time flani uchungulie kwenye dud* ya Mmasai...mmmmmhhhhh!!!!. ukizingatia kwamba wale watu hawavai chup*!!!
Mbona hamtuambii hii mambo mkjia nyumbani?
Mi tangu saa hii nampiga marufuku mamsapu kuenda kwa hao Wamasai!
Au mtasema namnyanyasa?
Lakini Pakajimmy kwani wanaposema communication kati ya wawili maana yake nini? instead of you kwenda kuitafuta faraja ya massage toka huko nje why dont you tell your partner what you like and how you like it ili akufanyie? unless umemwambia na hajafanya then you can convince me but si vinginevyo!!
kaka plz nilijionea tu lakini wanawake wenye kujua usafi ni nini hawawezi kufanya hayo.....
Pakajimmy usinoquote vibaya. mimi sijawahisuka kwa sababu nina kipara (I always like it since nasoma) huwa nawaona wanaosuka jamani!!
Hiyo ya kuvaa au kutokuvaa chupi umeisema wewe mie siyajui jamani lol
Lakini Pakajimmy kwani wanaposema communication kati ya wawili maana yake nini? instead of you kwenda kuitafuta faraja ya massage toka huko nje why dont you tell your partner what you like and how you like it ili akufanyie? unless umemwambia na hajafanya then you can convince me but si vinginevyo!!
MJO nimeku pm
mwambie huyoooo asiyejua maana ya kuta nne za chumba plus paaa la juu......pakajimmy unatoa siri zako za ndani......mtunzie mwenzio siri......
Hivi kulitachi nywele bei gani jamani kuna kimada kinanichuna sana kila wiki nakipa 70,000/= kwa ajili ya kulitachi nywele mmmh huu usafi jamani kweli gharama.
mwambie huyoooo asiyejua maana ya kuta nne za chumba plus paaa la juu......
mie naona anajiumbua mwenyeweee tuuu.
hahahhahah wajinga ndio waliwaooooo fide kwa hizi salon za kibongo bongo hapa bado sijacome across na hiyo salon ya 70,000 ku-retaouch mhhhh labda mie naenda za uswaziii nichicheme mengi bureeeeeeeeeeeeHivi kulitachi nywele bei gani jamani kuna kimada kinanichuna sana kila wiki nakipa 70,000/= kwa ajili ya kulitachi nywele mmmh huu usafi jamani kweli gharama.
........ Hahahaha Fidel ujanja wako woooooote!! Hizo nywele gani zinaretouchiwa kila wiki? Dawa gani hiyo lol pole kaka na hiyo bei ah!!......... kweli ningekupata mie mbona ningefaidi lol sitaki kuamini kama wewe ni rahisi kuingilika namna hii lol wengine wanakagua hadi risiti ati......Hivi kulitachi nywele bei gani jamani kuna kimada kinanichuna sana kila wiki nakipa 70,000/= kwa ajili ya kulitachi nywele mmmh huu usafi jamani kweli gharama.
Hivi kulitachi nywele bei gani jamani kuna kimada kinanichuna sana kila wiki nakipa 70,000/= kwa ajili ya kulitachi nywele mmmh huu usafi jamani kweli gharama.
Mungu wangu hivi ikifikia mume anona kuanika uchafu wa mkewe hadharani ni issue ya public na sio secret between the two? you are worse than i thought.Hv nyie mnaishi dunia gani? Do you know the secrets?
Mambo ya saluni, manywele, na makemiko ya wanawake ndo siri?
After all mnamjua my wife wangu, hata iwe ndo kumuumbua?
Zis is just an open situation guys!
We Fidel, ushampa ndo unakuja kuuliza?
Unataka watu wakupe bei kisha ukagombane nae?
Hujui kwamba hizo hela anatumia kulipa kodi, chakula, kusomesha nduguze kijijini, kucheza michezo ya kanga, na bia?
Ngoja mi nikupe bei ya kURITACHI, ni shs 1500 kwa mara moja, sa kwa wiki ulitakiwa umpe 3000/=. (lakn usiwaambie akina MJO,N`Yao), maana wataenda kumweleza huyo mrembo kuwa anapewa ndogo!