TL. Marandu
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 3,625
- 5,807
- Thread starter
- #21
Lissu atacheza Mikononi mwao, Lisu ni Mahiri ila ana Ghadhabu. Mimi sijasema Mbowe hafai, Ila Waanze Mikakati ya Jino kwa Meno! Geuza shavu waachie Mapadri na Wachungaji. Kwenye Siasa Mtu akikupiga Manati, Unajibu kwa kifaru, Atakuheshimu, Vinginevyo nenda Kauze karanga! Mmeshaona Kenya Wakithubutu kupiga tena wapinzani? Somo la 2007 Lilieleweka!Sure mkuu, my opinion mtu asiye muoga kabisa ni Advocate Lissu, naona ni wakati muafaka kwa Mbowe akasmishe madaraka Kwa Lissu tuone itakuwaje!