Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Njaa ni kitu kibaya sana,wakati mtu ana njaa atafanya kila awezalo kuhakikisha kama si kushiba ndii-ndii basi angalau anatuliza njaa yake,na siku zote aliyeshiba huwa hamkumbuki mwenye njaa,tumeyaona hayo kwa CUF na harakati za ukombozi wa Zanzibar na tutaendelea kuyaona hata kwa magwanda endapo watafanikiwa kushika dollar.
Hawa hapa chini katika pozi za kutowakumbuka kabisa wapiga kura wao kule majimboni kwao ni Viongozi/Wabunge mashuhuri wa Magwanda,kama picha hizi zingepigwa na Wabunge wa CCM basi yangeongelewa mengi sana humu,lkn kwasababu ni Vijana wao ambao wamekuwa wakiwashabikia kiasi cha kuwapigia kura kuwa ni kati ya wanasiasa bora kabisa Tanzania najua nitatukanwa sana humu ndani, lkn ni vizuri tukayaona na haya wanayofanyaga Viongozi wetu wanapokwenda katika safari za nje ya nchi walizozibatiza za kujenga Chama.
View attachment 55360
"Peace" ndivyo anavyoelekea kusema Mheshimiwa Nasari kulia akiwa na Mheshimiwa Msigwa wakati walipowaomba Vidosho vya kizungu wapige nao picha katika harakati zao za kuuza sura.
"Oyaa mmetuona" ndivyo anavyoelekea kusema Mh Nasari,by the way sina uhakika utekelezaji wa ahadi zake alizozimwaga kule Arumeru umefikia wapi,anachotakiwa kufahamu watanzania siku hizi si wajingwa wa kivile itakapofika 2015(ambayo si mbali) watamuuliza tu.
Hawa hapa chini katika pozi za kutowakumbuka kabisa wapiga kura wao kule majimboni kwao ni Viongozi/Wabunge mashuhuri wa Magwanda,kama picha hizi zingepigwa na Wabunge wa CCM basi yangeongelewa mengi sana humu,lkn kwasababu ni Vijana wao ambao wamekuwa wakiwashabikia kiasi cha kuwapigia kura kuwa ni kati ya wanasiasa bora kabisa Tanzania najua nitatukanwa sana humu ndani, lkn ni vizuri tukayaona na haya wanayofanyaga Viongozi wetu wanapokwenda katika safari za nje ya nchi walizozibatiza za kujenga Chama.
View attachment 55360
"Peace" ndivyo anavyoelekea kusema Mheshimiwa Nasari kulia akiwa na Mheshimiwa Msigwa wakati walipowaomba Vidosho vya kizungu wapige nao picha katika harakati zao za kuuza sura.
"Oyaa mmetuona" ndivyo anavyoelekea kusema Mh Nasari,by the way sina uhakika utekelezaji wa ahadi zake alizozimwaga kule Arumeru umefikia wapi,anachotakiwa kufahamu watanzania siku hizi si wajingwa wa kivile itakapofika 2015(ambayo si mbali) watamuuliza tu.