Kunguru kunidonyoa kichwani

Katoe taarifa polisi hilo ni shambulizi la aibu mi sijapenda.
 
Kuna kugurua alikuwa na vitoto vyake kwenye mti karibu na kwangu,ilikuwa kama kituo yao ,nikaamua kuu vitoto vyake aisee waliitana ili nisimalize hiyo shughuli,wanakupiga na mbawa hasimami mwingine naye anakuja walinichangia kwa zamu ila niliua vitoto ,mwisho wa siku wamehama wote hamna hata moja.
 
Anakudonyoa donyoa mara nyingi?
Habarini! hivi hili swala la kunguru kukudonyoa kichwani Lina maana gani? Mara ya kwanza kunitokea nikafikiri kwa vile nilivaa shati jeusi, lakini Leo pia imenitokea Cha kushangaza ni Mimi tu wengine hawadonyolewi
 
Aisee hawa kunguru walimlia houseboy wangu vifaranga wa kuku sasa naona kuna Kiota Chao hapa home na ninasikia vifaranga vyao wakilia. Nawalia timing wakijua kidogo niwaonyeshe KAZI. Kunguru kwangu asikanyage kabisa. Yaani wameweka makazi kwenye mwembe home siwataki kabisa. Nasikia ukiua mmoja ukitundika hawaji tena wanahama. Tofauti na hapo mnipe mbinu nyingine ya kuwahamisha kwa Amani.
 
Mimi siku Moja kunguru alininyea. Hahaha. Nilikuwa nimekaa ghafla kimba ya kunguru kwenye bega. Yaani houseboy wangu ana vikuku vyake hivyo kunguru wanapenda kutembelea Sana maeneo ya home na kuna mwembe ndiyo burudani Yao. Hata ufukuze vipi wanakimbia na kurudi.
 
Masikini, sa kwanini uliwaua?
 
Niliwahi kupita pembeni ya kinda la kunguru ambae alikua kaanguka baada ya kujaribu kuluka,baas mama yake akanifukuza flani hivi,mm nikajua yameisha kumbe vita ndio inaanza,mwez mzima yule kunguru ana niwinda, aaah nikahama njia dadeki
 
Habarini! hivi hili swala la kunguru kukudonyoa kichwani Lina maana gani? Mara ya kwanza kunitokea nikafikiri kwa vile nilivaa shati jeusi, lakini Leo pia imenitokea Cha kushangaza ni Mimi tu wengine hawadonyolewi
Pengine uliwahi kuuwa kunguru mwenzao au uliwatupia mawe hivyo wamekukariri.
 
Niliwahi kupita pembeni ya kinda la kunguru ambae alikua kaanguka baada ya kujaribu kuluka,baas mama yake akanifukuza flani hivi,mm nikajua yameisha kumbe vita ndio inaanza,mwez mzima yule kunguru ana niwinda, aaah nikahama njia dadeki
Ha ha ha.

Kwa hiyo kunguru kakuhamisha njia
 
Ha ha ha
 
Habarini! hivi hili swala la kunguru kukudonyoa kichwani Lina maana gani? Mara ya kwanza kunitokea nikafikiri kwa vile nilivaa shati jeusi, lakini Leo pia imenitokea Cha kushangaza ni Mimi tu wengine hawadonyolewi
Angalia mwenendo wa maisha/tabia yako mkuu! Penda kutenda matendo mema epuka matendo mabaya!

Na kama kuna mahali ulidhurumu au kuiba nenda ukarudishe...au nenda kanisani ukatubu na kumrudia Mungu.

USICHUKULIE POA!
 
Kaoge, unasiku ya ngapi leo ujaoga hicho kichwa?
 
Beef lao si la kitoto
Alafu wakikuandama
Wanakuchoresha tu machoni
Mwa watu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…