djsisco Senior Member Joined Jan 8, 2014 Posts 104 Reaction score 15 Aug 21, 2014 #1 Sasa hivi kuna milipuko inasikika kila baada ya dakika chache, yameanza tena au?? hata usingizi umekata
Sasa hivi kuna milipuko inasikika kila baada ya dakika chache, yameanza tena au?? hata usingizi umekata
big-diamond JF-Expert Member Joined May 23, 2009 Posts 425 Reaction score 558 Aug 21, 2014 #2 Na mimi nimeskia kaka tupeane taarifa jamani
Y Yana Mwisho Member Joined Apr 11, 2008 Posts 47 Reaction score 5 Aug 21, 2014 #3 Yaani tangu saa nane milio ilipoanza sijalala kabisa! Ni majambazi au askari wanafanya zoezi?
big-diamond JF-Expert Member Joined May 23, 2009 Posts 425 Reaction score 558 Aug 21, 2014 #4 Kumbe ni tangu saa nane...mwe...mi nliskia saa tisa kama na nusu hivi...japo cjalala hadi saivi najiandaa kutoka
Kumbe ni tangu saa nane...mwe...mi nliskia saa tisa kama na nusu hivi...japo cjalala hadi saivi najiandaa kutoka
tamimusalim JF-Expert Member Joined Jun 17, 2014 Posts 1,822 Reaction score 499 Aug 22, 2014 #5 Nyie wote wambeaaa