Kunani TBC

nndondo

JF-Expert Member
Feb 1, 2010
1,251
895
Kumekuwa Na habari zinazozunguka kwenye Mitamdao juu ya kuondolewa kazini Kwa wafanyakazi waandamizi wa TBC akiwemo Mhariri Mkuu wa TV Susan Mungy. Lilian Shirima Mkuu wa vipindi,Na Abdallah Ndege. Cha kushangazwa ni kwama mpaka sasa TBC wameshindwa ama kuthibitisha ama kuhamasisha hicho Kisa Na Mkasa. Wakati naongea na wadau waliweza kulihusiaha tuko hila ni sabotage ya Hali ya juu iliyofanya nanTBC Kwa shughuli nzima ya maazimisho ya siku ya kuzaliwa baba wataifa yaliyofanyika pale kigamboni Na kurushwa moja Kwa moja Na TBC lakini Kwa namna ya Kituko cha ajabu. Matangazo hayo kukatishwa kihuni Wakati Yule Mzee akielezea Kuwa Mwalimu hakuwahi kuhodhi Ardhi yoyote zaidi ya Ekari 3 za pale Msasani. Swala tunalojiuliza ni nani hasa aliyeagiza hiyo sabotage? Pili hivi ni Kwa nini TBC wajione ni zaidi ya waasisi wa nchi Yetu walio kutana jana wakiwemo Mawaziri wakwanza wakina mama Siwale, mama Mongela, kina Mzee kaduna, Mangula Na wengine Na Kwa nini shirika hili la umma lenye ufanisi sifuri halijaomba msamaha Na kurudia kuonyesha kipindi hicho mpaka leo. Huyo Ayubu Rioba anasubiri nini kurudishwa huko usalama wa taifa, Na ni lini huyo Dereva Kombo atakubali Kuwa watueleze wake Ni mabogas. Naomba tuungane kumfukuza Rioba Na kuihakikisha kipindi hiki cha kumbukumbu ya Mwalimu kinarushwa Tena Na Tena Kwa Kuitwa TBC ni Yetu sio ya usalama wa taifa, imejua mavipindi pumba kabisa naku acha kutuonupyesha tunu za taifa letu,
 
Kumekuwa Na habari zinazozunguka kwenye Mitamdao juu ya kuondolewa kazini Kwa wafanyakazi waandamizi wa TBC akiwemo Mhariri Mkuu wa TV Susan Mungy. Lilian Shirima Mkuu wa vipindi,Na Abdallah Ndege. Cha kushangazwa ni kwama mpaka sasa TBC wameshindwa ama kuthibitisha ama kuhamasisha hicho Kisa Na Mkasa. Wakati naongea na wadau waliweza kulihusiaha tuko hila ni sabotage ya Hali ya juu iliyofanya nanTBC Kwa shughuli nzima ya maazimisho ya siku ya kuzaliwa baba wataifa yaliyofanyika pale kigamboni Na kurushwa moja Kwa moja Na TBC lakini Kwa namna ya Kituko cha ajabu. Matangazo hayo kukatishwa kihuni Wakati Yule Mzee akielezea Kuwa Mwalimu hakuwahi kuhodhi Ardhi yoyote zaidi ya Ekari 3 za pale Msasani. Swala tunalojiuliza ni nani hasa aliyeagiza hiyo sabotage? Pili hivi ni Kwa nini TBC wajione ni zaidi ya waasisi wa nchi Yetu walio kutana jana wakiwemo Mawaziri wakwanza wakina mama Siwale, mama Mongela, kina Mzee kaduna, Mangula Na wengine Na Kwa nini shirika hili la umma lenye ufanisi sifuri halijaomba msamaha Na kurudia kuonyesha kipindi hicho mpaka leo. Huyo Ayubu Rioba anasubiri nini kurudishwa huko usalama wa taifa, Na ni lini huyo Dereva Kombo atakubali Kuwa watueleze wake Ni mabogas. Naomba tuungane kumfukuza Rioba Na kuihakikisha kipindi hiki cha kumbukumbu ya Mwalimu kinarushwa Tena Na Tena Kwa Kuitwa TBC ni Yetu sio ya usalama wa taifa, imejua mavipindi pumba kabisa naku acha kutuonupyesha tunu za taifa letu,
Unaandika huku unatweta!.Kuna chembe chembe za chuki dhidi Rioba humu,unawataka TBC waongelee habari za mitandaoni?wewe una hakika gani kwamba hao wafanyakazi wamefukuzwa?na kama ni kweli sio jukumu la TBC kutangaza,wafuate wenyewe wakuthibitishie.
 
Tbc ni mbwaa tena viazi vya gairo. Yaani msoma taarifa mweusi kama mkaa tena anachosoma hakijui
 
Hii TV ilishakosa mvuto. Inaelekea hakuna ubunifu,watangazaji wanavaa hovyo,rangi haina ubora,kutwa wanaweka wimbo wa Mrisho Mpoto na Banana unaomsifu Bashite.Vipindi havieleweki.
 
Kumekuwa Na habari zinazozunguka kwenye Mitamdao juu ya kuondolewa kazini Kwa wafanyakazi waandamizi wa TBC akiwemo Mhariri Mkuu wa TV Susan Mungy. Lilian Shirima Mkuu wa vipindi,Na Abdallah Ndege. Cha kushangazwa ni kwama mpaka sasa TBC wameshindwa ama kuthibitisha ama kuhamasisha hicho Kisa Na Mkasa. Wakati naongea na wadau waliweza kulihusiaha tuko hila ni sabotage ya Hali ya juu iliyofanya nanTBC Kwa shughuli nzima ya maazimisho ya siku ya kuzaliwa baba wataifa yaliyofanyika pale kigamboni Na kurushwa moja Kwa moja Na TBC lakini Kwa namna ya Kituko cha ajabu. Matangazo hayo kukatishwa kihuni Wakati Yule Mzee akielezea Kuwa Mwalimu hakuwahi kuhodhi Ardhi yoyote zaidi ya Ekari 3 za pale Msasani. Swala tunalojiuliza ni nani hasa aliyeagiza hiyo sabotage? Pili hivi ni Kwa nini TBC wajione ni zaidi ya waasisi wa nchi Yetu walio kutana jana wakiwemo Mawaziri wakwanza wakina mama Siwale, mama Mongela, kina Mzee kaduna, Mangula Na wengine Na Kwa nini shirika hili la umma lenye ufanisi sifuri halijaomba msamaha Na kurudia kuonyesha kipindi hicho mpaka leo. Huyo Ayubu Rioba anasubiri nini kurudishwa huko usalama wa taifa, Na ni lini huyo Dereva Kombo atakubali Kuwa watueleze wake Ni mabogas. Naomba tuungane kumfukuza Rioba Na kuihakikisha kipindi hiki cha kumbukumbu ya Mwalimu kinarushwa Tena Na Tena Kwa Kuitwa TBC ni Yetu sio ya usalama wa taifa, imejua mavipindi pumba kabisa naku acha kutuonupyesha tunu za taifa letu,
usiumize kichwa mkuu, ******** mwenyewe yupo busy kuangalia dume suruali na shilawadu so take easy
Halafu ukimlaumu Rioba unamuonea tu, serikalini hakuna innivation and creativity hasa GoT huko unasubiri maelekezo ya bashite namna ya kutangaza:D
 
Kumekuwa Na habari zinazozunguka kwenye Mitamdao juu ya kuondolewa kazini Kwa wafanyakazi waandamizi wa TBC akiwemo Mhariri Mkuu wa TV Susan Mungy. Lilian Shirima Mkuu wa vipindi,Na Abdallah Ndege. Cha kushangazwa ni kwama mpaka sasa TBC wameshindwa ama kuthibitisha ama kuhamasisha hicho Kisa Na Mkasa. Wakati naongea na wadau waliweza kulihusiaha tuko hila ni sabotage ya Hali ya juu iliyofanya nanTBC Kwa shughuli nzima ya maazimisho ya siku ya kuzaliwa baba wataifa yaliyofanyika pale kigamboni Na kurushwa moja Kwa moja Na TBC lakini Kwa namna ya Kituko cha ajabu. Matangazo hayo kukatishwa kihuni Wakati Yule Mzee akielezea Kuwa Mwalimu hakuwahi kuhodhi Ardhi yoyote zaidi ya Ekari 3 za pale Msasani. Swala tunalojiuliza ni nani hasa aliyeagiza hiyo sabotage? Pili hivi ni Kwa nini TBC wajione ni zaidi ya waasisi wa nchi Yetu walio kutana jana wakiwemo Mawaziri wakwanza wakina mama Siwale, mama Mongela, kina Mzee kaduna, Mangula Na wengine Na Kwa nini shirika hili la umma lenye ufanisi sifuri halijaomba msamaha Na kurudia kuonyesha kipindi hicho mpaka leo. Huyo Ayubu Rioba anasubiri nini kurudishwa huko usalama wa taifa, Na ni lini huyo Dereva Kombo atakubali Kuwa watueleze wake Ni mabogas. Naomba tuungane kumfukuza Rioba Na kuihakikisha kipindi hiki cha kumbukumbu ya Mwalimu kinarushwa Tena Na Tena Kwa Kuitwa TBC ni Yetu sio ya usalama wa taifa, imejua mavipindi pumba kabisa naku acha kutuonupyesha tunu za taifa letu,
Usipoteze muda na kituo hicho.
 
TBC naifananisha na KCNA ya north Korea .KCNA washawahi kutangaza kuwa timu ya ya soka ya taifa imeibugiza Brazil goli 43 bila il hali wao ndo wamechapwa 7 nil
Kama hata ni uzalendo... ukipitiliza unakuwa utahira..
TBC wajiangalie tena
 
Tbc ni mbwaa tena viazi vya gairo. Yaani msoma taarifa mweusi kama mkaa tena anachosoma hakijui


Basi mshukuru Mungu kwa pumzi na uhai aaliokujalia mpk ukapata kiburi chakumuona binadamu mwezio anakasoro mpk kumfananisha na mkaa.but remember that u still remain a walking dead.at anytime waweza kurudisha kitambulisho cha kuishi kwa mmiliki regardless how white you are.!
 
Back
Top Bottom