Kunani kwenye mwili wa Kagame

KISIWAGA

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2015
Posts
8,021
Reaction score
16,600
Wadau,

Kumekuwa na mlolongo mrefu wa walinzi binafsi wa Kagame kushtakiwa kwa kutuhumiwa kutaka kumuua.

Hivi huyu Kagame mwili wake umeundwa na dhahabu mbona marais wenzake wakina Museveni, Nkrunzinza, Kabila, Magufuli nk. hatujawahi kusikia wamemfunga mtu au kumpeleka mahakamani kwa tuhuma kama hizi za Kagame?
 
Kutokujiamini kwa Kagame kunaanzia toka kipindi hicho anaangaika na wapiganaji wenzake kuiteka Rwanda.

Kiufupi PK hakustahili kuwa kiongozi ila kilichomsaidia ni born technician.

Pia kuna kutofautiana kimtazamo kati yake na majeneral wake ambao karibia wote alikuwa nao mstuni miaka hiyo that why hajiamini.
 
Kagame ni kiongozi bora ndio maana anapitia majaribu mengi
 
Usharika Wa wachawi si Wa kudumu.Kutoana kafala ni sehemu yao ya ibada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…