Mbona wenzenu wa College of Health and Allied Sciences wamezoea?? Hawana maji toka wahamie kwenye majengo yao miezi 9 iliyopita!! Wanajifunza afya kwenye mazingira machafu na hatarishi
Mbona wenzenu wa College of Health and Allied Sciences wamezoea?? Hawana maji toka wahamie kwenye majengo yao miezi 9 iliyopita!! Wanajifunza afya kwenye mazingira machafu na hatarishi
sema maji wanachota mbali bana mimi hua naenda mara kwa mara hutembea kama mita 800 mpaka 1km kufata maji sumtime huletewa na magari ya kichina na muda mwengine yanatoka. Tuongee reality tusipende kukuza mambo
Mbona wenzenu wa College of Health and Allied Sciences wamezoea?? Hawana maji toka wahamie kwenye majengo yao miezi 9 iliyopita!! Wanajifunza afya kwenye mazingira machafu na hatarishi
yani serikali inatengeneza bomu ambalo,moto wake utakua ni kilio kwa watz wengi,con haja ya udom kuwa na makozi mengi hvo yacyokua nyenzo za kujfunzia.