Kuna watu wanapandikiza udini


CCM
Mwenyekiti - Jakaya Halfzn mrisho kikwete
katibu mkuu -Abdul-Aman kinana
Katibu -itikadi na uenezi - Nape Nnauye
MwekaHAZINA - Zakia meghji
Mwenyekiti - Uvccm - SADIFA
Mwenyekiti wa WAZAZI - Abdallah Bulembo
Mwenyekiti - UWT(Wanawake) - Sophia Simba
Katibu -siasa na mambo ya nje -Asha Rose Migiro
nhii ndiyo safu mahiri ya ccm,,kwa kutaja wachache tu.


ndg yetu tunaomba ufafanuzi kuhusu safu hii
 
Mkianza mawazo ya udini hayataishia hapo itaanza je kama ni mkristo/muislam anatoka madhehebu gani . Mkimaliza habari ya dhehebu mtakuja kuuliza je anatoka ukoo gani ............................................
 

Angalia na marais wa Tanzania na Zanzibar, wako watano na wote wagonga kichwa chini
 


big like
 
Samahani mkuu naomba unifahamishe hili; JE CCM NI CHAMA CHA DINI GANI!? KIKRISTO, KIISLAMU!? NIFAHAMISHE TAFADHALI!




Ndio maana tunasema UKAWA ni tumaini letu kwani vyama vya kiislam na kikristo vimeungana sasa dhidi ya chama cha shetani CCM.
Nilikua sivipendi vyama vya upinzani hasa CDM lakini UKAWA imenipa matumaini ya kumwondoa mwovu shetani CCM aliyemwaga damu za watu wengi wasio na hatia na kukalia haki za wengi kwa kufuru nyingi.
Damu ya mwisho isiyo na hatia ni ya Dr.Mvungi .Hii damu itaiandama CCM mpaka kiama.

UKAWA ni tumaini letu watanzania.UKAWA itaondoa udini,ukabila,maadili mabovu ya utumishi na ufisadi unaoambatana na mauaji.
 

Huku hawapaoni,
 

Ahsante sana mkuu nimekuelewa vizuri sana!
 

Mkuu kwa safu ya orodha hiyo, wanataka kutuambiaje Je, CCM ni ya WAKRISTO au WAISLAMU!? Kwahiyo kwa safu hiyo CCM ni Chama Cha Waislamu!? Bila shaka ni Chama Cha Kidini, yaleyale waliyowaambia CUF mwaka 2000 na CHADEMA mwaka 2010 na sasa wanakula matapishi yao! Ni muendelezo wa unafiki na hila! Hata hivyo ahsante mkuu kwa taarifa!
 
 

Mwana, kuna watu wanasubiri maelezo yako kwenye safu ya CCM. Je CCM kwa safu ile tuite chama cha kiislam?
 
Angalia na marais wa Tanzania na Zanzibar, wako watano na wote wagonga kichwa chini
Hawa jamaa zangu waislamu wanahofia udini na hali nchi iko chini ya muislamu. Sijui hawamwamini?
 

Kama nyie ndio watetezi wa CCM basi mtaendelea kuiachia hii nchi hatua kwa hatua.Mmeshindwa kuongoza watu kufikia maendelea mnabaki kuhubiri Udini na Ukabila.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…