fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,030
Nilikuwa katika one of the largest shopping malls hapa napo ishi na MashaAllah kuna demu mmoja alikuwa mzuri sana ana figure sio la kawaida.
Nikawa namtazama sana , akageuka afu akapiga tabasamu akasema; You want!!!
Kama wewe mwanaume hapo utasema nini.
Siku njema.
Nikawa namtazama sana , akageuka afu akapiga tabasamu akasema; You want!!!
Kama wewe mwanaume hapo utasema nini.
Siku njema.