Moja ya kinywaji nachokipenda sana.Habari wakuu?
Je kuna wadau wapenzi wa kahawa nzuri na fresh humu?upo tayari kulipia bei gani kwa premium fresh coffee ambayo imeroastiwa si zaidi ya 48 hours.? Tembelea website yangu kuona machaguo yako na maoni yako. Website ni mpya na nakaribisha maoni mbali mbali. www.Brewa.co.tz or call 0753038470View attachment 3421297View attachment 3421298
Kwakweli Khawa ina nafasi yake kwenye mwili wa mwanadamu hasa ikitengenezwa kiufashaHicho kikombe mpaka nimehisi harufu yake hiyo kahawa.
Arabica coffee?
π Mkuu, yaani kahawa ni kinywaji kizuri sana naweza kuilipia bei yoyote inategemea na uborq wakeKwakweli Khawa ina nafasi yake kwenye mwili wa mwanadamu hasa ikitengenezwa kiufasha
10,000 for 200grams. Kahawa yangu ni premium beans na kama una machine utaifurahia. Nilikua nikiuzia baadhi ya ofisi ambazo wana machine za kahawa ila sasa hivi nimeamua kujiongeza na kutanua soko.π Mkuu, yaani kahawa ni kinywaji kizuri sana naweza kuilipia bei yoyote inategemea na uborq wake
Hongera sana10,000 for 200grams. Kahawa yangu ni premium beans na kama una machine utaifurahia. Nilikua nikiuzia baadhi ya ofisi ambazo wana machine za kahawa ila sasa hivi nimeamua kujiongeza na kutanua soko.
Kuna siku nilikunywa kikombe cha kahawa Moshi mjini aisee ilikuwa super sana sitaisahau kwakweliπ Mkuu, yaani kahawa ni kinywaji kizuri sana naweza kuilipia bei yoyote inategemea na uborq wake
Tanzania tuna kahawa nzuri sana ila wakenya wanatupiga kwenye soko la njeKuna siku nilikunywa kikombe cha kahawa Moshi mjini aisee ilikuwa super sana sitaisahau kwakweli
Kusema ukweli swala la masoko bado hatujawezaTanzania tuna kahawa nzuri sana ila wakenya wanatupiga kwenye soko la nje
Kweli kuna kahawa nzuri sana nyumbani
Inategemeana na wewe unavyo taka kuitumia iwe chngu au nyepesi , moto au baridi na iwekwe maziwa au bila ya maziwa ni wewe tu na unavyopendelea.Hivi kahawa si ni chungu?