Kadhia hii huwakuta hasa walimu,.manesi na watendaji hasa wenye uchu wa ndoa wanatapeliwa sana na vijana huko.mtaani wasio na kipato cha uhakika..niliwahi sikia boda mmoja akipanga malengo yake kuwana na mahusiano na nesi au.mwalimu amseduce amchukulie mkopo then asepe amuachie deni..na wengi yanawakuta ya hivo