Kuna ushauri wa tatizo kama hili?

Kuna ushauri wa tatizo kama hili?

PetCash

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
1,996
Reaction score
2,017
Kwanza ilianza kama masihara. Mshikaji wangu jirani (Tulikuwa tumepanga nyumba 2 ndani ya geti moja), alimchukua na house girl aliyepewa na workmate wake akawa msaidizi wa ndani kwao.

Kijiweni tulimtania kwa siku nyingi sana kwa sababu mbili kwanza ye (mwanaume) ndo analeta house girl badala ya mkewe. Pili ni house girl mwenyewe sasa.

Yani ni mzuri kisha anavaa kama binti ambaye huwezi dhani ni hg (Japo ni kwa heshima). Hadi nikashangaa wife wake alikubalije hiyo issue. Ila for what I gathered aliyamudu vyema tu majukumu yake na alikuwa na adabu.

Mshkaji akaniambia siku moja kuwa mkewe kabadilika na hampi haki yake kama zamani. Nikamwambia tu kimasihara kuwa anakupimia ajue kama wewe na hg wako hamtofanya chochote.

Sasa mwanzoni hatukuwa serious ila baadae jamaa akawa anagombana na wife wake. Basi tukashauriana tukafikia wazo la uwezekano wa mkewe kuchepuka.

Jamaa fuatillia simu na aina zote wa mawasiliano ya mkwewe bila bila. Mkewe jamaa kuna kipindi walifungua duka akawa mda mwingi yuko hapo.

Jamaa akawa hadi anakodi watu wamfuatilie, lakini wife wake hakuonesha hata dalili. Nikamshauri jamaa hii issue tumuulize wife wangu anaweza kusaidia.

Wife akatupeleka kwa daktari mwenzie bingwa wa magonjwa ya kina mama, akamcousel jamaa jinsi ya kuhandle hiyo issue. Bado matokeo mazuri hayakuwepo.

Wife akampeleka huyo mkewe kwa tiketi ya cervical and breast cancer check up, wakashauriana pia mambo hayo ila huyo mkewe akasema hata tatizo.

Na daktari alipomchunguza vizuri akagundua kuwa (maneno yake) "It seems she is getting it and really good". Manake anafanya kwa kiwango cha Zaidi ya kuridhisha.

Basi tukawa convinced anachepuka na yuko vizuri ajabu kucover track zake. Basi jamaa kawa strict kwenye follow up ila hakuambulia chochote.

Tukasahau hizo mambo na jamaa akaanza kuchepuka, ajabu nyumba ikawa na Amani. Sasa kuna kupindi nikawa likizo na nikawa nashinda home nafanya kazi zangu binafsi.

Sasa shemeji yangu yule akawa anarudi sana home, hadi nikaona hayuko serious na kazi. Redio ya kwao ikawa inafunguliwa kwa sauti hadi nikawa na gonga kwao kuomba wapunguze.

Hadi nikawa naona kama anachukia. Kuna mara nikahisi huwa kuna mambo yanafanyika kwao. Nikajakucomfirm baada ya kusikia sauti za mahaba toka kwao.

Nikawa najiuliza, huyo mwanaume anayechepuka naye anaingiaje? Na kwanini house girl haoneshi kujali? Nikahisi labda huyo housegirl ndo anamtengenezea mke wa jamaa mazingira kisha ndo anakuja home.

Basi nikaongea na mshkaji tukamdaka house girl juu kwa juu tukamtight aeleze kuna nini kwao mchana. Alichofanya yule dada nilishangaa.

Akatupiga biti kwamba kwanza kumtight ni kumnyima haki zake kama mfanyakazi na atawaeleza wake zetu tunamtaka! Yani jamaa alitamani kumpiga sema ikawa ni bar na watu watatuelewa vibaya.

Jamaa kwa hasira akamfukuza housegirl na kumtight mkewe. Mke kuzidiwa akakiri vitu ambavyo ni shida!
Akasema mwanzoni huyo msichana alikuwa anajituma vizuri na kuwa na adabu hivyo hakupata shida kukaa naye. Kuna siku akakuta pasi imechomekwa na kuachwa on juu ya nguo na ikaungua.

House girl alikuwa ananyoosha nguo akaagizwa kitu na hivyo akaiacha hivyo. Kwa hasira akamshika ili ampige. House girl akawa kama anaresist arrest.

Basi katika kushikana akawa (shemeji) anabadilika kwa sababu anashikwa pabaya. Baada ya muda ikawa wanashikana badala amuarrest na kumpiga. Hakujua anafanya nini mpaka baadae anajikuta wanafanya mambo mabaya na house girl! Basi ndo hivyo ikawa ndo tabia yao.

Ugomvi haukua mkubwa kwasababu kiajabu jamaa hakummind sana mkewe. Nikashauri tunaojua tuwe sisi sisi issue iishe wasameheane. Basi house girl kafukuzwa na wanandoa wakajitahidi kurejesha moto wao. Mwanzoni ikawa vizuri tu, ila taratibu ikarudi tena kubaya.

Jamaa akapanik, kipindi hicho hapakuwa na mtu mwingine kwao. Hakufuatilia sana akagundua wife ana simu asiyoijua na anawasiliana na mtu tunayedhani ni huyo house girl. Na wanatumiana picha mbaya na kuchat kiushetani kabisa! Jamaa kadata sasa hivi na hata hajui afanyeje.

Kuna siku wife wake akanitafuta akilia. Ananiambia hakutaka awe hivyo na huwa wanagombana na yule house girl lakini mwishoni hujikuta huko. Kiukweli wote tunaofahamu hatujui dawa ya kitu hicho na sidhani kama nchi yetu ina kituo cha kushauri watu kama hao mi naona labda madawa ya kulevya tu ndo viko.

Any advice please!

 
ungeweka na audio pia incase kwa wale watakaokosa muda wa kusoma wasikilize na kutoa ushauri wao.
 
ushauri nasaha unapatikina.... huyu shetani ana nguvu sana,,,,haya mavitu USHOGA, UFIRAJI NA USAGAJI....,,, ni bora umpige msuba ukitaitiwa utaacha.. ila hapo shetani kapiga mihuri kabisa...wengi wanakufa na hizo tabia...inahitajika nguvu kubwa sana ya maombi....
 
Dah! Hii noma sana, yaani unazidiwa utundu kwa mkeo na mwanamke??

40905931.jpg


..Ila sidhani kama ni mbaya sana kama kuchapiwa, right? Anyway, mi ambacho ningefanya ni kuomba exclussive ticket to the show, halafu naangalia huyo 'Miss Steal your wife' anachofanya ili nijiongeze na kumrudisha Missus kwenye himaya. Ikishindikana hiyo, i'll join them and we make the awesome 3-some, cuz if you can't beat them...you know the drill. Option nyingine ni kukubali tu matokeo na kuvunja ndoa.
 
Hivi ni kipi bora, kujua mkeo anasagana au kujua kuwa mkeo anagongwa nje na kidume mwingine?
 
I see....

Kwanza kabla ya yote mtu huamua kuacha jambo yeye mwenyewe na kama hajataka mtakesha

Kuna kutaka kuacha kwa aina mbili

1; Mtu anaweza kutaka kuacha jambo kwasababu analichukia kwasababu mbali mbali,huyu mara nyingi anafanikiwa kuacha

2; Mtu kutaka kuacha kwasababu ya aibu ya watu wengine,kushurutishwa kuacha na sababu nyingine kama hizo,huyu hatafanikiwa kuacha kwasababu ndani ya moyo wake hayupo tayari kuacha lakini analazimika kutaka kuacha kwasababu ya watu wa nje yake....

Huyo shemeji yako inaonekana yupo kwenye kundi la pili,mara nyingi sana watu wa namna hiyo deep down kwenye mioyo yao wanakuwa wanapenda kufanya hivyo na kama nilivyosema hapo juu wanakuwa wanalazimishwa na mazingira ya nje hivyo kutokutoa ushirikiano wa kutosha kwenye hatua za kuacha

Ili mtu aache anapaswa kuelezwa kwa lugha nzuri ubaya wa kitendo anachopenda kukifanya na baadae aelezwe vile ilivyo kosa kibinadamu kufanya hivyo,kama ni mtu wa dini basi mnaweza kutumia vitabu vya kiimani kumuelewesha,kumbuka kuwa mtu wa namna hii kusiwe na namna yoyote ya kulazimishana au kutishana maana hizo njia zote haziwezi kuleta manufaa

Kingine ni kuwa,kimsingi kama mtu unakula chakula na kushiba huwezi kupata ham ya chakula chohote kile,chukulia mfano umepata njaa na umekula zako makande na kushiba kisawasawa,ukiletewa hapo biriani au kuku wa kukaanga huwezi hata kumuangalia kwasababu tayari umeshashiba,hii inamaana umeshalimaliza tatizo la msingi la njaa hayo mengine ni ziada tu,kwanini nimekupa huo mfano? Nimekupa huo mfano kwasababu inaonekana jamaa yako hakuwa anamridhisha mkewe kisawasawa au hakuwa anamridhisha kabisa

Kwanza kama angekuwa anamridhisha ile siku ya kwanza asingehemkwa wakati anashikwa sehemu "mbaya" kwasababu zile hisia za ngono zingekuwa zimeshamalizwa usiku uliopita au jana yake hivyo asingejikuta anaingia kwenye huo mtego

Pili hata kama angeingia basi asingeona tofauti na "shughuli" anayopewa na mumewe na kitendo hicho kingemfanya asione tofauti na kupagawa kiasi hicho....

Kinachotakiwa kufanywa na huyo jamaa yako ni kama nilivyosema huko juu lakini pia akae chini na kuzungumza na mkewe kuhusu kumridhisha kingono ili amrahisishie kuacha pale atakapoamua kuacha

Asijali maana wapo wengi tu wameshakuwa na tabia hizi na wameacha .....!!
 
Dah! Hii noma sana, yaani unazidiwa utundu kwa mkeo na mwanamke??

40905931.jpg


..Ila sidhani kama ni mbaya sana kama kuchapiwa, right? Anyway, mi ambacho ningefanya ni kuomba exclussive ticket to the show, halafu naangalia huyo 'Miss Steal your wife' anachofanya ili nijiongeze na kumrudisha Missus kwenye himaya. Ikishindikana hiyo, i'll join them and we make the awesome 3-some, cuz if you can't beat them...you know the drill. Option nyingine ni kukubali tu matokeo na kuvunja ndoa.

Huu ushauri ni mzuri ila unahitaji moyo wa chuma.
 
Hivi ni kipi bora, kujua mkeo anasagana au kujua kuwa mkeo anagongwa nje na kidume mwingine?

Inaweza kukawa na kilicho bora au kisiwepo kwasababu inategemea na unachomaanisha kwenye "bora"!
 
Kwanza ilianza kama masihara. Mshikaji wangu jirani (Tulikuwa tumepanga nyumba2 ndani ya geti moja), alimchukua na house girl aliyepewa na workmate wake akawa msaidizi wa ndani kwao. Kijiweni tulimtania kwa siku nyingi sana kwa sababu mbili kwanza ye(mwanaume) ndo analeta house girl badala ya mkewe. Pili ni house girl mwenyewe sasa. Yani ni mzuri kisha anavaa kama binti ambaye huwezi dhani ni hg (Japo ni kwa heshima). Hadi nikashangaa wife wake alikubalije hiyo issue. Ila for what I gathered aliyamudu vyema tu majukumu yake na alikuwa na adabu.

Mshkaji akaniambia siku moja kuwa mkewe kabadilika na hampi haki yake kama zamani. Nikamwambia tu kimasihara kuwa anakupimia ajue kama wewe na hg wako hamtofanya chochote. Sasa mwanzoni hatukuwa serious ila baadae jamaa akawa anagombana na wife wake. Basi tukashauriana tukafikia wazo la uwezekano wa mkewe kuchepuka. Jamaa fuatillia simu na aina zote wa mawasiliano ya mkwewe bila bila. Mkewe jamaa kuna kipindi walifungua duka akawa mda mwingi yuko hapo. Jamaa akawa hadi anakodi watu wamfuatilie, lakini wife wake hakuonesha hata dalili. Nikamshauri jamaa hii issue tumuulize wife wangu anaweza kusaidia. Wife akatupeleka kwa daktari mwenzie bingwa wa magonjwa ya kina mama, akamcousel jamaa jinsi ya kuhandle hiyo issue. Bado matokeo mazuri hayakuwepo. Wife akampeleka huyo mkewe kwa tiketi ya cervical and breast cancer check up, wakashauriana pia mambo hayo ila huyo mkewe akasema hata tatizo. Na daktari alipomchunguza vizuri akagundua kuwa (maneno yake) “It seems she is getting it and really good”. Manake anafanya kwa kiwango cha Zaidi ya kuridhisha.

Basi tukawa convinced anachepuka na yuko vizuri ajabu kucover track zake. Basi jamaa kawa strict kwenye follow up ila hakuambulia chochote. Tukasahau hizo mambo na jamaa akaanza kuchepuka, ajabu nyumba ikawa na Amani. Sasa kuna kupindi nikawa likizo na nikawa nashinda home nafanya kazi zangu binafsi. Sasa shemeji yangu yule akawa anarudi sana home, hadi nikaona hayuko serious na kazi. Redio ya kwao ikawa inafunguliwa kwa sauti hadi nikawa na gonga kwao kuomba wapunguze. Hadi nikawa naona kama anachukia. Kuna mara nikahisi huwa kuna mambo yanafanyika kwao. Nikajakucomfirm baada ya kusikia sauti za mahaba toka kwao.

Nikawa najiuliza, huyo mwanaume anayechepuka naye anaingiaje? Na kwanini house girl haoneshi kujali? Nikahisi labda huyo hg ndo anamtengenezea mke wa jamaa mazingira kisha ndo anakuja home. Basi nikaongea na mshkaji tukamdaka house girl juu kwa juu tukamtight aeleze kuna nini kwao mchana. Alichofanya yule dada nilishangaa. Akatupiga biti kwamba kwanza kumtight ni kumnyima haki zake kama mfanyakazi na atawaeleza wake zetu tunamtaka! Yani jamaa alitamani kumpiga sema ikawa ni bar na watu watatuelewa vibaya. Jamaa kwa hasira akamfukuza housegirl na kumtight mkewe. Mke kuzidiwa akakiri vitu ambavyo ni shida!

Akasema mwanzoni huyo msichana alikuwa anajituma vizuri na kuwa na adabu hivyo hakupata shida kukaa naye. Kuna siku akakuta pasi imechomekwa na kuachwa on juu ya nguo na ikaungua. House girl alikuwa ananyoosha nguo akaagizwa kitu na hivyo akaiacha hivyo. Kwa hasira akamshika ili ampige. House girl akawa kama anaresist arrest. Basi katika kushikana akawa (shemeji) anabadilika kwa sababu anashikwa pabaya. Baada ya muda ikawa wanashikana badala amuarrest na kumpiga. Hakujua anafanya nini mpaka baadae anajikuta wanafanya mambo mabaya na house girl! Basi ndo hivyo ikawa ndo tabia yao.

Ugomvi haukua mkubwa kwasababu kiajabu jamaa hakummind sana mkewe. Nikashauri tunaojua tuwe sisi sisi issue iishe wasameheane. Basi house girl kafukuzwa na wanandoa wakajitahidi kurejesha moto wao. Mwanzoni ikawa vizuri tu, ila taratibu ikarudi tena kubaya. Jamaa akapanik, kipindi hicho hapakuwa na mtu mwingine kwao. Hakufuatilia sana akagundua wife ana simu asiyoijua na anawasiliana na mtu tunayedhani ni huyo house girl. Na wanatumiana picha mbaya na kuchat kiushetani kabisa! Jamaa kadata sasa hivi na hata hajui afanyeje. Kuna siku wife wake akanitafuta akilia. Ananiambia hakutaka awe hivyo na huwa wanagombana na yule house girl lakini mwishoni hujikuta huko. Kiukweli wote tunaofahamu hatujui dawa ya kitu hicho na sidhani kama nchi yetu ina kituo cha kushauri watu kama hao mi naona labda madawa ya kulevya tu ndo viko. Any advice please!

Hiyo ni lesibian Spirit/roho ya usagaji.

Na huyo hg lzm alitumia nguvu za Giza kumuingiza huyo mke kwny huo ushenzi!!coz wanawake sikuhiz wamejisahau,hawaombi,hawasali wakishaolewa basi!

Ss basi,km ulivyoona mwenyewe, huo ushauri sijui wa kisaikolojia haujatoa jibu,mmemfukuza hg BT still kuna communication!

Sasa hapo dawa ni moja tu!
Ni maombi tu tena wawe serious la sivyo hiyo ndoa soon inavunjika!coz ndo kazi ya hizo roho!

Nb,nashauri wadada waliolewa,mjue kuwa Mungu/Yesu yupo,wa kulinda ndoa ni ww mama kupitia maombi,only that!!

Tatizo mnajisahau sn!
 
Mwanaume anatafsiri vibaya kugongewa ma mtu mkeo. Kwa namna fulani unahisi kazi imekushinda and that is not a good feeling at all!
Ila mwanamke? inasababisha ujihisi we ni bure kabisa kitandani though haileti hasira kama ya kwanza (In my opinion)
Just all in all your wife is yours habari za kushare vyovyote si nzuri. Ila ndoa nyingi zinasikitisha sana

Hivi ni kipi bora, kujua mkeo anasagana au kujua kuwa mkeo anagongwa nje na kidume mwingine?
 
Kwani mkataba wa ndoa yao ni miaka mingapi?

Kama hawezi kuvunja mkataba basi bbora amwambie mke wake amfundisha pa kumshika kama huyo house girl alivyokuwa anamshika kabla ajawa chizi.
 
mi ambacho ningefanya ni kuomba exclussive ticket to the show, halafu naangalia huyo 'Miss Steal your wife' anachofanya ili nijiongeze na kumrudisha Missus kwenye himaya. Ikishindikana hiyo, i'll join them and we make the awesome 3-some, cuz if you can't beat them...you know the drill. Option nyingine ni kukubali tu matokeo na kuvunja ndoa.

😱Baaad boy!:sly:
 
Mwanaume anatafsiri vibaya kugongewa ma mtu mkeo. Kwa namna fulani unahisi kazi imekushinda and that is not a good feeling at all!
Ila mwanamke? inasababisha ujihisi we ni bure kabisa kitandani though haileti hasira kama ya kwanza (In my opinion)
Just all in all your wife is yours habari za kushare vyovyote si nzuri. Ila ndoa nyingi zinasikitisha sana
Kwa kweli haya mambo yanasikitisha sana, nyumba ikiingiwa na huyo mdudu ni ngumu kumtoa..na mwishowe huwa watu wanaachana tu coz amani inakosekana
 
Hakuna bora hapo, saa nyingine yale madude wanayosagania yanakua inch 12! Ndo maana mke ka loose appetite na mumewe. Mambo mengine usiombe yakukute yasikie jf tuu.
Kwa kweli kama ni inchi 12 ni bora umuache tu vile utakuwa unadharauliwa, maisha haya magumu acha
 
niliunganishwa group flan watsap mpuuz mmoja akatuma video ya hao lesbians....asee kama mkeo kashaingia humo duuuhh cjui tena...maana wanavyogegedana hutoamini
 
Mkuu nimependa usimuliaji wako, una kiwango kwa kweli

Ulichokisema kama ni cha kweli basi kazi ipo, manake huwa nadhani lesbians ni wale wasio na waume, sikuwahi kufikiria mtu anaweza kuwa lesbian ndoani
 
Back
Top Bottom