Kuna ukweli wowote?

Lkn kuandamana si kosa.
Maandamano ni haki ya kila raia, lakin ni jinai au kosa kubwa maandamano hayo yanapobadilika na kuwa chanzo cha kuvunja haki za wengine..kama vile kuvamia maduka, kuchoma vituo vya mafuta, magari pkpk na nyumba za watu..
Hali hyo hubadilika na kuwa uvamizi, hapo sasa lazima uone ukurasa wa pili wa vyombo vya ulinzi.
 
Hii ni mwanza, watu walienda kuvamia kiwanda cha magodoro eneo la machinjioni, wakavunja geti wakaingia ndani, kuna baadhi wakachomoa waya ya gesi, ikalipuka, aisee watu makumi na makumi waliungulia humo
Lile tukio la wale 12 waliouawa kibanda umiza walikutwa wanaangalia game ya Arsenal hapo Mwanza uliliona?
 
Lile tukio la wale 12 waliouawa kibanda umiza walikutwa wanaangalia game ya Arsenal hapo Mwanza uliliona?
Tupo mwanza tulilifahamu, ni kata ya isamilo, mjimwema pale tarazo..
Lakini kwenye magodoro ni zaidi ya watu 50 waliungulia humo
 
Kwamba watanzania ni wajinga sio yaani maandamano yahamasishwe miezi 5 watu wasiingie barabarani mpaka watu wawili wake kuwaambia
 
Hii ni mwanza, watu walienda kuvamia kiwanda cha magodoro eneo la machinjioni, wakavunja geti wakaingia ndani, kuna baadhi wakachomoa waya ya gesi, ikalipuka, aisee watu makumi na makumi waliungulia humo

watu weusi ni wajinga sana
 

Mkuu hili Joto la maandamano, Limebebwa toka kwa mwenda zake.

Watu wamebeba visasi na visasi mpaka sasa.

Watu hawasahau, huoni zanzibar wanasherehekea kisasi chao cha 2000 keo baada ya miaka 25?

People never forget when u piss them off.

Hata haya mauaji polisi watakuja tu kuyalipa hatakama ni baada ya miaka 50
 
, TCRA wanaujua ukweli wakiamua kufatilia mawasiliano ya hizo siku nchi nzima tutakuwa wahaini,
hapa kuna kada wa CDM alikuwa akipiga simu anasema bonyeza 5 na wa kule naye anamwambie abonyeze 5, ni IT kumbe wana jinsi ya kublock wasifatiliwe bwana namm nikawa naminya hiyo 5 nafunguka kama aljazeera!πŸ˜‚
 
Kuna ukweli wowote hapa wakuu hii nimekutana nayo leo kwenye comments kwenye uzi wa Buyobe

Kwamba kuna watu walikuwa wanapita hasa kwenye maeneo yaliyopoa kuwaamsha watu waingie road ila wao walikuwa hawaguswi wala kukamatwa

View attachment 3498550
Pathetic theory, ameshindwa hata ku prove

Mkoa x , walitoka washkaji ambao wanajulikana wakaanziasha moto

Hiyo theory anaanzisha ni kujaribu ku twist reality
Tell him atunge story mpya
 
hapa kunqkada wa CDM alikuwa akipiga simu anasema bonyeza 5 na wa kule naye anamwambie abonyeze 5, ni IT kumbe wana jinsi ya kublock wasifatiliwe bwana namm nikawa naminya hiyo 5 nafunguka kama aljazeera!πŸ˜‚
Hiyo nilikuja kuijua badae nimeshamwaga shangwe la kutosha, kumbe 5 ndo block yao
 
Kuna mkoa wanajeshi walipita kushawishi raia waandamane kuwa watawalinda. Hata Dodoma pia.

Kumbe ni majoka ya kibisa jeshi zima makanali uchwara. Jeshi gani linatwekwa na Mafwele na kuchapwa viboko matakoni.
Songea, Njombe.
 
Mwanza😭 viwanda vimelipuka hivi na bado wanafanya doria ya kusaka magodoro yao wametangazia wananchi kuyarudisha kuwa wameonekana kwenye camera! Ole wake ukutwe nalo ndani na risit huna!!

watu weusi ni manyani waliochangamka. Inasikitisha sana
 
πŸ“’ TANGAZO LA KAZI – HORIZON INSTITUTE πŸ“’

Horizon Institute inafungua nafasi za kazi katika kozi mbalimbali za kuelimisha! Ikiwa una ujuzi au shauku ya kufundisha, hii ni fursa yako ya kuunga mkono jamii ya wanaojifunza.

🌟 Maeneo ya Kazi Yanayopatikana:

πŸ—£ LUGHA ZA KIGENI
βœ… English
βœ… French
βœ… German
βœ… Kitaliana
βœ… Russian
βœ… Romanian
βœ… Spanish
βœ… Arabic
βœ… Kiswahili
βœ… Chines

πŸ’» KOZI ZA COMPUTER
βœ… Computer Application
βœ… Graphic and Design
βœ… Video Production
βœ… Air Fare and Ticking

πŸ›  KOZI NYINGINEZO
βœ… Tour Guider
βœ… Tuition of all level (Nursery mpaka Advanced)
βœ… Cleaner Hotel Management
βœ… Ususi
βœ… Make Up (Upambaji)
βœ… Uchoraji wa hinna na piko

⏳ Mwisho wa Kuwasilisha Maombi: 14/12/2025

🌐 Jinsi ya Kuomba:
Tuma ombi lako kupitia website yetu:
πŸ‘‰ Horizon Institute - Mfumo wa Maombi ya Kazi

πŸ“ž Kwa maswali au usaidizi, wasiliana nasi kupitia:
πŸ“ž 0722 186 012
πŸ“ž 0786 199 664
πŸ“§ Amani Magazeti Zanzibar
 

Attachments

  • ghost 2222.jpg
    146.6 KB · Views: 9
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…