Mwanaume ukiwa na pesa unahisi unaweza lala na wanawake wote duniani na sababu wanawake wanahusudu pesa zaidi kuliko chochote unajikuta unatumbukia huko, hata kama hutaki watajieleta tuu...
Mwanamke anapokea hana pesa, anafikiria nini anaweza kuku- offer cha haraka haraka ili umpatie hizo pesa, ndiyo pale anakupa chini yake...
Cc:
mahondaw