Habari,
Niingie moja kwa moja kwenye mada bila ya kuooteza muda. Nimekuwa nikisikia kwamba mwanaume akishiriki tendo la ndoa hali ya kuwa ana njaa kunauwezekano mkubwa sana akazimia.
Vilevile nimesikia kwamba kuna wanawake ambao huzidiwa utamu sana wakati wa tendo la ndoa hupelekea mpaka kuzimia.
Je kuna ukweli wowote juu ya hili?
Niingie moja kwa moja kwenye mada bila ya kuooteza muda. Nimekuwa nikisikia kwamba mwanaume akishiriki tendo la ndoa hali ya kuwa ana njaa kunauwezekano mkubwa sana akazimia.
Vilevile nimesikia kwamba kuna wanawake ambao huzidiwa utamu sana wakati wa tendo la ndoa hupelekea mpaka kuzimia.
Je kuna ukweli wowote juu ya hili?