Kuna uhusiano wowote kati salute ya polisi kwa mbunge na mbunge kukaidi amri ya jeshi hilo?

Cybercrime

JF-Expert Member
Feb 14, 2014
3,246
1,113
Maana Malima alishapokea sana salute za hawa jamaa, pengine alishajiaminisha wao siyo lolote mbele yake
IMG-20170516-WA0003.jpg

hqdefault-1.jpg
 

Attachments

  • hqdefault.jpg
    hqdefault.jpg
    22.5 KB · Views: 118
kama mtu unamtolea salute ni ishala ya kukili kuwa yeye ni mkubwa zidi ya mtoa salute hivyo basi mkubha haamlishwi badala yake huombwa.
Ninachokusudia kusena ni kwamba amri haitoki chini kwenda juu.
 
Ujumbe wa nyumba kumi wa nn?LB7 ndio mnapigana vikumbo kuvizia teuzi
Utakuwa umetokea ukoo wa kujiona nyie ndo nyie na dola siyo chochote kwenu. Zama hizo zimekwisha itabidi mkubaliane na mabadiliko
 
Kuna haja hii sheria ya Wabunge kupigiwa salute na polisi iondolewe, inawaponza wabunge kiasi kwamba hata wanapoacha Ubunge hudhania bado wako juu ya sheria
 
Back
Top Bottom