KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,329
Habari ya jumapili wana JF
kabla sijaileta hoja ya leo naomba kwanza wale ambao hawana interest na mambo ya dini ama hawapendi kujifunza mambo ya ziada huu uzi hauwafai wala hawatakiwi kuwepo hapa, wale wasioamini kuhusu Mungu huu uzi hauwafai
wale wanaona dini zao zimekamilika wala hawataki ziguswe basi pia huu uzi hauwafai.
Huu uzi hauwafai wote wenye personal interest na dini.Sasa naenda katika point yangu
Kunawatu wanaitwa "MIracle Hunter" hiki cheo anaweza kuwa nacho mtu yeyote mwenye elimu hiyo lakini nimeona sana kwa wale mapadre wanakuwa nayo hii kitu na sio kila padre ila ni few selective
Hawa majamaa kazi zao kubwa wanazokuwa wanadai wanazifanya inakuwa nikufuatilia mambo ambayo yametokea sio ya kikawaida kawaida katika maeneo yao.
NImewahi kushuhudia shuguli moja kule peramiho kwakweli ni mambo fulani kama uganga kabisaa lakini unakuta wanatumia vitu ambavyo ni vitakatifu(kwa madai yao)mfano msalaba, maji ya baraka na baadhi ya sala(spell)
Kilichonifanya kuwa interested kuwajua hawa watu nikuwa kwa mara ya kwanza nilibumiana nao peramiho tena wakiwa wapo wanawajibika(katika pitapita ndio tukajikuta tuko eneo la tukio) walikuwa ni mapadre watatu na walikuwa na wazee wawili na mwana mama mmoja ambaye alikuwa anashida na wanamfanyia ibada fulani alikuwa kafunikwa na shuka fulani rangi ya kaki lina michoro ila sikuelewa ile michoro vizuri maana tulikuwa umbali kidogo na nilijua ni mwanamke sababu ya sauti yake(mimi nilijua anamapepo wanamuombea)lakini utendaji ulikuwa ni tofauti
Kwanza zile sala zao walitumia kilatin na kiingereza(na miongoni mwao padri mmoja alikuwa ni mtu mweusi kabisa) chakushangaza zaidi nikuwa sikusikia neno Jesus katika sala zao za kiingereza , ila ilikuwa ni baadhi tu ya majina ya malaika na commanding language zao binafsi kama "In the name of the Lord...."hayo maneno nayakumbuka vizuri sana nk lakini hawataji jina la Yesu
baadaye tukiwa tunashangaa pale kuna mtu akaja nyuma yetu tuliposimama
kugeuka alikuwa ni padre mwingine akatuambia tuondoke maana tunaweza kudhurika, nilipoondoka ndio katika pelelezapeleleza nikajua wanaitwa "Miracle Hunter" aliyenipa hii habari ni katekista mmoja hivi toka mkoani kwetu naye anawajua kwa ufupi sana japo anasema haelewi ni wapi kuna mafunzo hayo maana si kila mtu anapata
Aliongeza niwatu ambao wanaweza hata kumuita mzimu wa mtu na wakaongea nao wanafanya mambo yaa ajabu na kutisha mno.
ila sasa shida yangu ilibakia katika lugha wanazotumia na kutokutumia JIna la YESU kama vile wakristo tunavyojua
sasa naomba mwenye kuwajua vyema hawa watu naomba atusaidie habari zao zaidi nimetafuta sana google ila sijapata kitu kwakweli kama ni elimu ziko prohibited naomba unayejua unaweaz hata ukani pm
kabla sijaileta hoja ya leo naomba kwanza wale ambao hawana interest na mambo ya dini ama hawapendi kujifunza mambo ya ziada huu uzi hauwafai wala hawatakiwi kuwepo hapa, wale wasioamini kuhusu Mungu huu uzi hauwafai
wale wanaona dini zao zimekamilika wala hawataki ziguswe basi pia huu uzi hauwafai.
Huu uzi hauwafai wote wenye personal interest na dini.Sasa naenda katika point yangu
Kunawatu wanaitwa "MIracle Hunter" hiki cheo anaweza kuwa nacho mtu yeyote mwenye elimu hiyo lakini nimeona sana kwa wale mapadre wanakuwa nayo hii kitu na sio kila padre ila ni few selective
Hawa majamaa kazi zao kubwa wanazokuwa wanadai wanazifanya inakuwa nikufuatilia mambo ambayo yametokea sio ya kikawaida kawaida katika maeneo yao.
NImewahi kushuhudia shuguli moja kule peramiho kwakweli ni mambo fulani kama uganga kabisaa lakini unakuta wanatumia vitu ambavyo ni vitakatifu(kwa madai yao)mfano msalaba, maji ya baraka na baadhi ya sala(spell)
Kilichonifanya kuwa interested kuwajua hawa watu nikuwa kwa mara ya kwanza nilibumiana nao peramiho tena wakiwa wapo wanawajibika(katika pitapita ndio tukajikuta tuko eneo la tukio) walikuwa ni mapadre watatu na walikuwa na wazee wawili na mwana mama mmoja ambaye alikuwa anashida na wanamfanyia ibada fulani alikuwa kafunikwa na shuka fulani rangi ya kaki lina michoro ila sikuelewa ile michoro vizuri maana tulikuwa umbali kidogo na nilijua ni mwanamke sababu ya sauti yake(mimi nilijua anamapepo wanamuombea)lakini utendaji ulikuwa ni tofauti
Kwanza zile sala zao walitumia kilatin na kiingereza(na miongoni mwao padri mmoja alikuwa ni mtu mweusi kabisa) chakushangaza zaidi nikuwa sikusikia neno Jesus katika sala zao za kiingereza , ila ilikuwa ni baadhi tu ya majina ya malaika na commanding language zao binafsi kama "In the name of the Lord...."hayo maneno nayakumbuka vizuri sana nk lakini hawataji jina la Yesu
baadaye tukiwa tunashangaa pale kuna mtu akaja nyuma yetu tuliposimama
kugeuka alikuwa ni padre mwingine akatuambia tuondoke maana tunaweza kudhurika, nilipoondoka ndio katika pelelezapeleleza nikajua wanaitwa "Miracle Hunter" aliyenipa hii habari ni katekista mmoja hivi toka mkoani kwetu naye anawajua kwa ufupi sana japo anasema haelewi ni wapi kuna mafunzo hayo maana si kila mtu anapata
Aliongeza niwatu ambao wanaweza hata kumuita mzimu wa mtu na wakaongea nao wanafanya mambo yaa ajabu na kutisha mno.
ila sasa shida yangu ilibakia katika lugha wanazotumia na kutokutumia JIna la YESU kama vile wakristo tunavyojua
sasa naomba mwenye kuwajua vyema hawa watu naomba atusaidie habari zao zaidi nimetafuta sana google ila sijapata kitu kwakweli kama ni elimu ziko prohibited naomba unayejua unaweaz hata ukani pm
ova