Wana jf kitambo kdogo kimepita since tcu watoenotification za admission 2o12/2013....sasa kwa bahati nzuri nkawa admitted kwenye hii bs food science n technology at sua,,,kila nliekuwa nikimueleza alibaki kunishangaa kisa nlisoma egm hadi food sci......xaxa wana jf naombeni kwa mwenye full details za huu mzigo kwamba je mtu aliyesoma EGM anaweza kukomaa nao???? Au kama vp nkienda nkimbilie koz nyingne kama vle bs agricultural economics n agribussiness,,,,,,,ushauri wako ntauheshimu,,,,.