Wakipekee
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 5,358
- 9,232
Kila mtu ameona kilichotokea pale mbalali mbeya.
Maamuzi ya kijinga yameikosti Yanga na hamna hatua zitakazichukiliwa.
Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha..."
Tupambane Tu club bingwa msimu huu "Rais wa Maisha" hataki tupate kitu.
Mtanielewa baadaye
Maamuzi ya kijinga yameikosti Yanga na hamna hatua zitakazichukiliwa.
Wananchi jiandaeni kisaikolojia.. kama mshindi wa Ngao ya jamii alivopatikana kimauza uza ndivo atakavopewa ubingwa na "Rais wa Maisha..."
Tupambane Tu club bingwa msimu huu "Rais wa Maisha" hataki tupate kitu.
Mtanielewa baadaye