Kuna mwenye kuwafahamu hawa consumer insight?

Kuna mwenye kuwafahamu hawa consumer insight?

Perry

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
10,082
Reaction score
2,354
Habari zenu wakuu?niliona tangazo la hawa watu kule zoom.com walikua wanataka research intern,sasa leo wamenitumia email niende kwenye usail.kama kuna mwenzetu humu anaewafahamu hawa watu anihabarishe kwa kunipa ABC zao na maswali wanayouliza kwenye usaili.pia ningependa kujua hizo nafasi zao za intern huwa wanalipa au napo hola tu?
Asanteni
 
Hawa ni wakenya wanaojihusisha na research za makampuni mbalimbali,ofisi zao ziko ubungo plaza..kuhusu kuwalipa au kutokuwalipa watu wa intern me kiukweli sijui.
 
Habari zenu wakuu?niliona tangazo la hawa watu kule zoom.com walikua wanataka research intern,sasa leo wamenitumia email niende kwenye usail.kama kuna mwenzetu humu anaewafahamu hawa watu anihabarishe kwa kunipa ABC zao na maswali wanayouliza kwenye usaili.pia ningependa kujua hizo nafasi zao za intern huwa wanalipa au napo hola tu?
Asanteni

Ninawafahamu; nimefanya nao kazi mara mbili: mwaka 2010 na 2012 kwa nafasi hiyo hiyo uliyoomba. Malipo yalikuwa ni TAS 7,000/- kwa siku. Kuhusu interview mimi sikufanya kabisa kwani nilikuwa na uhusiano wa karibu na Senior Official mmoja pale.
 
Ninawafahamu; nimefanya nao kazi mara mbili: mwaka 2010 na 2012 kwa nafasi hiyo hiyo uliyoomba. Malipo yalikuwa ni TAS 7,000/- kwa siku. Kuhusu interview mimi sikufanya kabisa kwani nilikuwa na uhusiano wa karibu na Senior Official mmoja pale.

mazingira yao ya kazi yapoje mkuu?
 
Back
Top Bottom