Sometime huzingatiwi hata na wanaokuzungunga unahisi labda wewe sio mtu dah. But fine maisha yaendelee.Kabisaa kabisaa... kuna mida inafika unajihisi kama kichwa kinataka kupasuka
Watu wanastruggle na trauma hambazo hazihusiani na pesa mzee. Why mnahisi pesa ndio kila kitu?Tutafute pesa hakuna njia nyingine.
Watu wanastruggle na trauma hambazo hazihusiani na pesa mzee. Why mnahisi pesa ndio kila kitu?
Wengine hawakupendwa na hawakuwa na mahusiano mazuri na wazazi wao utotoni, wengine wazazi walikuwa wanawakwepa utotoni wapo busy kutafuta hela mtoto anaishi hamuoni mzazi ila anajua yupo?
Huyu mtu akiwa mtu mzima anapata shida kujenga mji wake, kutengeneza mahusiano na watu wengine anakuwa mpweke.
Akiwa na hela atazifanyia nini zaidi ya kuzigawa na kusaidia wengine ambao hawezi kuwa na mahusiano nao nje ya hela?
Michael Jackson alikuwa billionaire na hadi sasa amefariki bado anaingiza mamilioni kushinda wasanii walio hai wa sasa miaka kumi na baada ya kifo chake.
Lakini alikufa akiwa depressed na muda wote hakuwa na furaha na alishindwa kujenga mahusiano ya kawaida kabisa sababu utoto wake hakupitia makuzi ya kawaida na alikuwa exposed kwenye umaarufu mapema sana.
Justin Bieber huyo hapo ona alivyovurugwa. Utajiri wake last time ulikuwa ni Dola milioni 400+ lakini unaona kila saa analia lia kwenye media hana furaha.
Pesa sio jibu la kila kitu. Huwa nawatazama sana ninyi mnaowajibu watu kuwa watafute pesa kutibu maumivu ya mapenzi, maumivu ya kutengwa na wazazi, maumivu ya kusalitiwa kimahusiano, maumivu ya kusumbuliwa na ndugu. Watu wanastruggle wanataka kushikwa mkono wavutwe kutoka huko na sio kutafuta hela.
Kabisa aiseeWatu wanastruggle na trauma hambazo hazihusiani na pesa mzee. Why mnahisi pesa ndio kila kitu?
Wengine hawakupendwa na hawakuwa na mahusiano mazuri na wazazi wao utotoni, wengine wazazi walikuwa wanawakwepa utotoni wapo busy kutafuta hela mtoto anaishi hamuoni mzazi ila anajua yupo?
Huyu mtu akiwa mtu mzima anapata shida kujenga mji wake, kutengeneza mahusiano na watu wengine anakuwa mpweke.
Akiwa na hela atazifanyia nini zaidi ya kuzigawa na kusaidia wengine ambao hawezi kuwa na mahusiano nao nje ya hela?
Michael Jackson alikuwa billionaire na hadi sasa amefariki bado anaingiza mamilioni kushinda wasanii walio hai wa sasa miaka kumi na baada ya kifo chake.
Lakini alikufa akiwa depressed na muda wote hakuwa na furaha na alishindwa kujenga mahusiano ya kawaida kabisa sababu utoto wake hakupitia makuzi ya kawaida na alikuwa exposed kwenye umaarufu mapema sana.
Justin Bieber huyo hapo ona alivyovurugwa. Utajiri wake last time ulikuwa ni Dola milioni 400+ lakini unaona kila saa analia lia kwenye media hana furaha.
Pesa sio jibu la kila kitu. Huwa nawatazama sana ninyi mnaowajibu watu kuwa watafute pesa kutibu maumivu ya mapenzi, maumivu ya kutengwa na wazazi, maumivu ya kusalitiwa kimahusiano, maumivu ya kusumbuliwa na ndugu. Watu wanastruggle wanataka kushikwa mkono wavutwe kutoka huko na sio kutafuta hela.
Kweli kabisa " mwisho wa siku, siku lazima iishe" 😁😁😁Nimefikiria sana Ila naona maisha ndo yale Yale acha tuishi
Pesa huwa si kitu. Kuna siku nilipata hela yangu kubwa kwa mara ya kwanza ilikuwa ni milioni 5 sijawahi shika hela kubwa kiasi hicho before.Watu wanadhani pesa ndio kila kitu.
Uko SAWAWatu wanastruggle na trauma hambazo hazihusiani na pesa mzee. Why mnahisi pesa ndio kila kitu?
Wengine hawakupendwa na hawakuwa na mahusiano mazuri na wazazi wao utotoni, wengine wazazi walikuwa wanawakwepa utotoni wapo busy kutafuta hela mtoto anaishi hamuoni mzazi ila anajua yupo?
Huyu mtu akiwa mtu mzima anapata shida kujenga mji wake, kutengeneza mahusiano na watu wengine anakuwa mpweke.
Akiwa na hela atazifanyia nini zaidi ya kuzigawa na kusaidia wengine ambao hawezi kuwa na mahusiano nao nje ya hela?
Michael Jackson alikuwa billionaire na hadi sasa amefariki bado anaingiza mamilioni kushinda wasanii walio hai wa sasa miaka kumi na baada ya kifo chake.
Lakini alikufa akiwa depressed na muda wote hakuwa na furaha na alishindwa kujenga mahusiano ya kawaida kabisa sababu utoto wake hakupitia makuzi ya kawaida na alikuwa exposed kwenye umaarufu mapema sana.
Justin Bieber huyo hapo ona alivyovurugwa. Utajiri wake last time ulikuwa ni Dola milioni 400+ lakini unaona kila saa analia lia kwenye media hana furaha.
Pesa sio jibu la kila kitu. Huwa nawatazama sana ninyi mnaowajibu watu kuwa watafute pesa kutibu maumivu ya mapenzi, maumivu ya kutengwa na wazazi, maumivu ya kusalitiwa kimahusiano, maumivu ya kusumbuliwa na ndugu. Watu wanastruggle wanataka kushikwa mkono wavutwe kutoka huko na sio kutafuta hela.