Kuna 'michepuko' huwezi kuiacha, 'never'

Jumong S

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
7,443
Reaction score
10,782
Kuna michepuko haiachiki. Kila ukijaribu tu image ikija unajipeleka. Utakuta mdada ana kila idara unayoihitaji, yaani kila utakacho unapatiwa.

Yaani ile unapanga visa na mikasa balaa ya kumuacha, ukimuona tu, mipango yote ya medani za kivita za Kim Jong Un unatupa kando.

Sasa ile sauti yake "Baby, leo nikupe nini wangu? " unahisi kama upo Paradiso.

Sasa acha ajaribu kukugusa, oooh! Ramani nzima ya vita unamkabidhi. Utashangaa miaka inapita, unachepuka tuu! Ukijifanya kuvaa miguu ya usain Bolt, eti utoke nduki, akikutext tu, utarudi fasta Mbeya hata kama ushafika Msamvu Moro.

Kuna watoto wameumbwa jamani, nitatoka kweli?

Nisaidieni mwenzenu mbinu mpya !
 
Ukiamua kutoka unaweza tu,,, !!


uyo blackie though...
 
Wajeda na mapolisi huwa wanateswa sana na mapenzi
 
Unataka kusema unachepuka na hawa uliowapost
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…