Kuna mdada kanambia eti mi ni mbaili

Kuna mdada kanambia eti mi ni mbaili

Mung Chris

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2017
Posts
3,473
Reaction score
4,007
Hivi kuambiwa mbaili na msichana maana yake nini ni kama sielevi vile, yeye anasema alikuwa anategemea akikohoa tu anataka hela nimpe haijalishi ni muda gani au ni siku gani.

Hivi kweli unaweza ukamfanyia mtoto wa mwenzio hivyo kweli, mama kijijini hatumii smart phone kabisa, yeye ananiambia akikohoa tu akute nimempa iPhone X, sio mchumba wangu, wala gfriend huenda anajihisi kuwa tayari ameshakuwa.

Ebu mliopo kwenye mfumo njooni mtuambie ndo hivyo huwa mnakoholewa na mnatenda eti, maana naye anasema nikikohoa tu anafungua miguu naingia, mi sijawahi na sihitaji icho kitu kwa sasa inakuwaje.
 
Tunatoa mkuu...wewe baada ya mauzo/mshahara mpelekee zote mwambie babe nilichopata leo hiki mama watoto wangu.
Zipangie matumizi.
 
Tunatoa mkuu...wewe baada ya mauzo/mshahara mpelekee zote mwambie babe nilichopata leo hiki mama watoto wangu.
Zipangie matumizi.
Daby leo ndio nimebaini kuwa wewe ni muongo kabisa hivi umewahi jaribu kufanya hivyo, mna hadithi tu
 
Daby leo ndio nimebaini kuwa wewe ni muongo kabisa hivi umewahi jaribu kufanya hivyo, mna hadithi tu
Nafanya hivyo mkuu....ona sasa shemeji anakuita bahili. Chafua meza mzee baba.
 
Nafanya hivyo mkuu....ona sasa shemeji anakuita bahili. Chafua meza mzee baba.
Hayo maneno yako tu ya mdomoni, weka ka video ukiwa unamkabidhi fedha zote hapo tuone kama wewe ni mkweli, najua ukimuonyesha hela tu hazirudi kwako
 
Hayo maneno yako tu ya mdomoni, weka ka video ukiwa unamkabidhi fedha zote hapo tuone kama wewe ni mkweli, najua ukimuonyesha hela tu hazirudi kwako
Tehtehteh.......hapa kijiweni za kuambiwa changanya na zako.

Muda huo nashikwa shikwa kidevu muda wa video nitaupata wapi sheikh?
 
Niambie siri ya utajiri ni ubaili atakuganda akitegemea utakuja kuwa tajiri.
 
Hivi kuambiwa mbaili na msichana maana yake nini ni kama sielevi vile, yeye anasema alikuwa anategemea akikohoa tu anataka hela nimpe haijalishi ni muda gani au ni siku gani.

Hivi kweli unaweza ukamfanyia mtoto wa mwenzio hivyo kweli, mama kijijini hatumii smart phone kabisa, yeye ananiambia akikohoa tu akute nimempa iPhone X, sio mchumba wangu, wala gfriend huenda anajihisi kuwa tayari ameshakuwa.

Ebu mliopo kwenye mfumo njooni mtuambie ndo hivyo huwa mnakoholewa na mnatenda eti, maana naye anasema nikikohoa tu anafungua miguu naingia, mi sijawahi na sihitaji icho kitu kwa sasa inakuwaje.
Kama unazo si umpe tu ubahili haukupendezi mtoto wa kiume ujue
 
Mkuu, tafuta mwanamke mmoja, mtatulie shida zake ndogo ndogo zooote alafu mweke ndani. Hapo utakuwa umepunguza vizinga...
 
Tunatoa mkuu...wewe baada ya mauzo/mshahara mpelekee zote mwambie babe nilichopata leo hiki mama watoto wangu.
Zipangie matumizi.
Kati ya wanaongoza kuonga ni Mimi NYOTIENO JARIEKO Jana tu nimehonga Hadi na ATM, Sasa hivi nipo kwenye harakati ya mazungumuzo na m/kiti wa Kijiji nionge Kijiji nzima.
 
Back
Top Bottom