Sasa atafanyaje? 😂😂😂 katumika miaka 3 mbaya zaidi katoa mpaka visivyotakiwa kutolewa then akishatoka hapo nani atakula makombo?Unangoja upigiwe kengele ndio ujue kama unapoteza muda hapo..!!
Nimefanya muda wote huo, sasa naendelea kufanya mpaka lini?ID Yako Ya Zamani Ni ipi?
Alafu kwnn wanawake mko desperate Sana kuolewa? Kwani huwezi kufanya mambo yako hadi uolewe?
Ss tunaotafuta wanawake Wa kuwaoa hatuwapati lakini mabazazi wenyewe rahisi tu anadaka dem faster,Wakuu habari zenu humu,
Nina huyu Bf wangu tuna muda mrefu pamoja, yeye umri umeenda kidogo maana ni 40+ na mimi nakaribia 30. Nilimpenda huyu baba sana naye alinipenda na nilijua atanioa. Basi nikimpa mapenzi motomoto, nilijituma kweli kweli, yaani kwenye 6x6 nilihakikisha anaridhika kabisaa, na hapa ndio nikajikuta nampenda mpaka nikakubali kuliwa mpaka michezo ya nyuma na anapenda sana hayo mambo, sikuona shida maana nilijua ndio mume wangu huyu.
Sasa tupo pamoja huu mwaka 3, sioni dalili yoyote ile, hata kwao hajanipeleka zaidi ya kuwa namjua kaka ake mmoja tu. Mama yake yupo ila baba yake alishakufa. Hata nikijisemesha semesha kuhusu future yetu wala hachangii sana na atabidili mada fasta. Sasa mimi nimechoka kwa kweli, zaidi naona ananitumia tu na hiki kupindi cha Corona basi nakoma mimi, (maana kwa sasa sina kazi kwa hiyo nipo hapa kwake kwa muda huku naangalia michongo mingine) maana bar haendi tena basi akirudi tu nyumbani yaani yeye anataka tu mapenzi tu, kabla hatujala, baada ya kula, tukiwa tunaangalia movie, yaani kifupi muda wote yeye anataka tufanye tu na huo mchezo wake wa nyuma ndio nachoka kabisa. Ki ukweli nimeanza kuchoka haya maisha na ukimnyima mchezo ni ugomvi au kununiwa haswa. Sasa nawaza tu huyu mtu atanioa kweli ama ananitumia tu hapa??? Natamani kumuuliza ila naona kama ataniona labda nampendea ndoa tu, ile je yeye anavyonitumia ni sawa? nimechoka jamani. Naombeni ushauri jamani
Ni kweli ila kama nilikosea sasa ndio narekebisha na hata hayo mambo siku hizi namyima. Shida ni sioni kama kuna future hapaNdoa ni mpango wa Mungu, kwahiyo ulidhani ukiyafanya yote hayo ndo atakuoa? Yaaani hapo ni umejidhalilisha wewe huenda alikuwa anakupima je wafaa kuwa wife material kaona nawewe ndo walewale Kesha kushusha thamani kwakumpa huko nyuma.. wanawake sisi muda mwingine jamani.. [emoji51][emoji51]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema ni boyfriend afu amegeuka tena amekua baba
kama ni baba hakuna ndoa hapo
Mwanaume anaekukula tigo usitegemee akuoe...!! Wewe liwa tu mpaka uanze kujinyeaaa..Mhh umenielewa kweli? Mimi nahitaji ndoa tu
Sawa, shida ni muda tuliokuwa pamoja na pia nilishajua ndio mume, wacha niwaze upande wa pili. Nashukuru piaUnangoja upigiwe kengele ndio ujue kama unapoteza muda hapo..!!
Mhh, asante kwa ushauri. kama nilishakosea nifanyaje? Nimuache? Kupata mwingine na kuanza upya nayo ni kazi jamani mpaka umjue mtu mpya duhPole sana,ila ukweli ni kwamba huyo mwanaume mke alienae kichwani ni yule ambae hajaingiliwa nyuma...Hivi dada zetu kwanini mnarubunika kirahisi hivyo? Kisa kakuonesha kukupenda et na wewe unamkubalia kumpa mpka sodoma, vipi kama kuomba huo mchezo kwake ndo kulikua ni kipimo cha kuona kama una msimamo kama mwanamke?
Mhh sawaPuraVida_Fire
Asilimia ya wanaume wanaokuja kuwaoa wanawake wanaowafir.a ni 0.001%.
Endelea ku enjoy kwa kuliwa kisamvu cha kopo...
Sasa atafanyaje? [emoji23][emoji23][emoji23] katumika miaka 3 mbaya zaidi katoa mpaka visivyotakiwa kutolewa then akishatoka hapo nani atakula makombo?
Wanaume wenyewe hawa siku hizi wanajishaua wanatakamo na bikra
Ki ukweli najuta, na nimeanza kumnyima pia. Ndoa ipo hapa kweli?Nasoma na kurudia kusoma tena na tena.
Huonyeshi Kuumia wala kujutia "michezo ya nyuma"....Concern yako kubwa ni ndoa [emoji3][emoji3][emoji3]
Hiyo ya kuliwa mgongo unaona sio issue.
Jamani jamani aibu naona mimi.
Sent using Jamii Forums mobile app