Kuna kodi ya mapato haikusanywi hapa.

ng'adi lawi

JF-Expert Member
Sep 27, 2014
2,956
1,114
Kila siku kuna majengo makubwa ya kuishi na ya kibiashara yanajengwa. Pia kuna magari mengi ya kifahari yanaingia nchini. Serikali haijahoji vyanzo vya mapato haya labda kwa kutojua au kwa viongozi wengi kuwa wahusika. Ni wakati muafaka kufanya yafuatayo: 1. Majengo yote yafanyiwe tathmini na halmashauri za wilaya, miji na majiji kwa ajili ya kodi za majengo(property tax). Nakala za valuation reports zipelekwe TRA ili kuhakiki kama wenye hayo majengo wanalipa kodi ya mapato na kama mapato wanayolipia kodi yanalingana na thamani ya majengo hayo. Kama sivyo watozwe kodi ya 30% ya thamani ya majengo. Kama yamejengwa kwa mikopo ya benki mikataba isajiliwe TRA. Hapo serikali itapata kodi kutoka kwenye mapato ya ufisadi, ujambazi, madawa ya kulevya, uhujumu wa mali za umma na wafanyabiashara wakwepa kodi. Hakuna haja ya kuburuzana mahakamani kwa makosa ya zamani. Pia wakati magari yanaingia nchini kuwe na tax clearance certificate ili mapato ya kanunulia hayo magari yalipiwe kodi. Hii inafanyika katika nchi nyingi duniani kama Mauritius, India nk. Mhe Philip Mpango upo?
 
Kila siku kuna majengo makubwa ya kuishi na ya kibiashara yanajengwa. Pia kuna magari mengi ya kifahari yanaingia nchini. Serikali haijahoji vyanzo vya mapato haya labda kwa kutojua au kwa viongozi wengi kuwa wahusika. Ni wakati muafaka kufanya yafuatayo: 1. Majengo yote yafanyiwe tathmini na halmashauri za wilaya, miji na majiji kwa ajili ya kodi za majengo(property tax). Nakala za valuation reports zipelekwe TRA ili kuhakiki kama wenye hayo majengo wanalipa kodi ya mapato na kama mapato wanayolipia kodi yanalingana na thamani ya majengo hayo. Kama sivyo watozwe kodi ya 30% ya thamani ya majengo. Kama yamejengwa kwa mikopo ya benki mikataba isajiliwe TRA. Hapo serikali itapata kodi kutoka kwenye mapato ya ufisadi, ujambazi, madawa ya kulevya, uhujumu wa mali za umma na wafanyabiashara wakwepa kodi. Hakuna haja ya kuburuzana mahakamani kwa makosa ya zamani. Pia wakati magari yanaingia nchini kuwe na tax clearance certificate ili mapato ya kanunulia hayo magari yalipiwe kodi. Hii inafanyika katika nchi nyingi duniani kama Mauritius, India nk. Mhe Philip Mpango upo?[/Q

mzee umenena sana, sisi bado tumelala sana.
sehemu nyingene zenye mapato ni

1. Kumbi za harus na Mc
2. Nyumba za kupanga
3.line za simu (at least kila mtu alipe Tzs 1000/year=20,000,000*1000=20bil nadhan hii ya line inaweza kujenga nyumba za walimu 400@50mio
4.Kodi ya simu

katika kodi ya simu nashauri tufanye kama rwanda walivyofanya, Rwanda Communication Regulatory Authoruty walifunga mtambo unaorecord kila simu inayopigwa nchini rwanda na inaonesha katumia dk ngapi kwa shs ngap. hii itakuwa rahis kwa serikali kupata mapato mengi sana kuliko tunavyoibiwa. Coparate tax hailipwi kikamilifu, figisufigisu nyingi sana.
 
Kila siku kuna majengo makubwa ya kuishi na ya kibiashara yanajengwa. Pia kuna magari mengi ya kifahari yanaingia nchini. Serikali haijahoji vyanzo vya mapato haya labda kwa kutojua au kwa viongozi wengi kuwa wahusika. Ni wakati muafaka kufanya yafuatayo: 1. Majengo yote yafanyiwe tathmini na halmashauri za wilaya, miji na majiji kwa ajili ya kodi za majengo(property tax). Nakala za valuation reports zipelekwe TRA ili kuhakiki kama wenye hayo majengo wanalipa kodi ya mapato na kama mapato wanayolipia kodi yanalingana na thamani ya majengo hayo. Kama sivyo watozwe kodi ya 30% ya thamani ya majengo. Kama yamejengwa kwa mikopo ya benki mikataba isajiliwe TRA. Hapo serikali itapata kodi kutoka kwenye mapato ya ufisadi, ujambazi, madawa ya kulevya, uhujumu wa mali za umma na wafanyabiashara wakwepa kodi. Hakuna haja ya kuburuzana mahakamani kwa makosa ya zamani. Pia wakati magari yanaingia nchini kuwe na tax clearance certificate ili mapato ya kanunulia hayo magari yalipiwe kodi. Hii inafanyika katika nchi nyingi duniani kama Mauritius, India nk. Mhe Philip Mpango upo?
Naona sasa baadhi yenu fahamu zinaanza kurudi. Maana mlipagawa baada ya kupigwa kumbo kwenye uchaguzi mkuu. Kila ukiamka ni Kikwete, mara Mkapa, mara Riz1, mara Muhongo, mara buku 7, mara Lumumba nk. Siasa zimeisha, toeni uzi kama huu kuisaidia serikali. Serikali ichukue hatua, maendeleo yapatikane, wananchi waiamini serikali yao, ili 2020 JPM apite kiulaini. Uzi huu mzuri sana.
 
Kweli kabisa .Huko Mauritius ukinunua Vocha ya simu ukiingiza inakuletea msg kuwa airtime ni ngapi na Vat ni ngapi. Hapa kwetu hatujui kama hawa wenye mtandao wanapeleka hiyo kodi kikamilifu. Hata ukiomba efd receipt kutoka kwa wauzaji wa jumla hupewi wanasema hiyo Vocha ni risiti tosha. Hawa lazima wakaguliwe kikamilifu ukaguzi urudi nyuma miaka 5. Katika hili TCRA ni jipu lililoiva.
 
Back
Top Bottom