pdozen_nation Member Joined Nov 12, 2015 Posts 52 Reaction score 122 Oct 1, 2023 #1 hivi kunakiwanda ambacho akina kazi ngumu raisi ? kama kipo kitaje na malipo yao yakoje watu wanatafuta
hivi kunakiwanda ambacho akina kazi ngumu raisi ? kama kipo kitaje na malipo yao yakoje watu wanatafuta
Joseverest JF-Expert Member Joined Sep 25, 2013 Posts 53,261 Reaction score 72,431 Oct 1, 2023 #2 KIWANDA CHA UDALALI KIWANDA CHA KUBETI ILA VIWANDA VINGINE DAAH KAZI NI NGUMU KWELIKWELI
T TRABSOH JF-Expert Member Joined Jun 9, 2023 Posts 376 Reaction score 593 Oct 1, 2023 #3 ππ nishawahi kufanya kazi ya kutembea kwa masaa 11 pumziko saa moja kwa 7500 ... nakubali sana kazi za ujenzii nguvu inaendana na malipo viwandani wachina na wahindi wapo uku kwasabbu ya chipu leba
ππ nishawahi kufanya kazi ya kutembea kwa masaa 11 pumziko saa moja kwa 7500 ... nakubali sana kazi za ujenzii nguvu inaendana na malipo viwandani wachina na wahindi wapo uku kwasabbu ya chipu leba
falcon Q JF-Expert Member Joined Feb 28, 2023 Posts 1,203 Reaction score 3,018 Oct 1, 2023 #4 Kazi ngumu rais/rahisi ndo zikoje? NB:Ndo maana wa Dar tunadharaulika
T TRABSOH JF-Expert Member Joined Jun 9, 2023 Posts 376 Reaction score 593 Oct 1, 2023 #5 falcon Q said: Kazi ngumu rais/rahisi ndo zikoje? NB:Ndo maana wa Dar tunadharaulika Click to expand... Anataka kazi kama za ufaransa kulala tu kitandani unalipwa π
falcon Q said: Kazi ngumu rais/rahisi ndo zikoje? NB:Ndo maana wa Dar tunadharaulika Click to expand... Anataka kazi kama za ufaransa kulala tu kitandani unalipwa π
falcon Q JF-Expert Member Joined Feb 28, 2023 Posts 1,203 Reaction score 3,018 Oct 1, 2023 #6 Hahahahaha nchi ngumu hii
A Akili 2 JF-Expert Member Joined Jul 2, 2018 Posts 1,221 Reaction score 1,869 Oct 1, 2023 #7 TRABSOH said: Anataka kazi kama za ufaransa kulala tu kitandani unalipwa π Click to expand... Hiv wale unajuwa siwaelewi hivi mtu unalala tu unalipwa?
TRABSOH said: Anataka kazi kama za ufaransa kulala tu kitandani unalipwa π Click to expand... Hiv wale unajuwa siwaelewi hivi mtu unalala tu unalipwa?
T TRABSOH JF-Expert Member Joined Jun 9, 2023 Posts 376 Reaction score 593 Oct 1, 2023 #8 Akili 2 said: Hiv wale unajuwa siwaelewi hivi mtu unalala tu unalipwa? Click to expand... Unakuta wapo kwenye research zao kupima uzuri wa magodoro yao nadhani
Akili 2 said: Hiv wale unajuwa siwaelewi hivi mtu unalala tu unalipwa? Click to expand... Unakuta wapo kwenye research zao kupima uzuri wa magodoro yao nadhani
Kitombile JF-Expert Member Joined Mar 21, 2021 Posts 7,261 Reaction score 8,152 Oct 1, 2023 #9 Kiwanda kisichokuwa na kazi ngumu ni kiwanda cha kuchakata mbususu na kuzalisha utelezi, mmekalia uvivu na kupenda mambo ya bwerere.
Kiwanda kisichokuwa na kazi ngumu ni kiwanda cha kuchakata mbususu na kuzalisha utelezi, mmekalia uvivu na kupenda mambo ya bwerere.
Shikono Avant Senior Member Joined Nov 23, 2019 Posts 128 Reaction score 135 Oct 2, 2023 #10 Nenda kiwanda cha magodoro, hasa kile kitengo cha kutest ubora wa magodoro