Kuna kila dalili CHADEMA wameshavuta ruzuku kabla mwaka wa fedha kuisha leo tarehe 30.06.2021

Kutokuchukua ile pesa ni mojawapo ya “matumizi mabaya ya pesa”

Unasusa kuchuka pesa iliyozaliwa na process ya uchaguzi ila unaandika barua kuomba kuonana na Rais (halali?) aliyepatikana kwa process ileile
 
Ndugu zangu,

Ajizi nyumba ya njaa kwa wenye uelewa na mambo ya serikalini leo ndio mwisho wa mwaka wa hesabu za serikali hivyo maafisa masurufu yawapasa warudishe pesa zote zilizopangwa kutumika lakini hazijatumika.

Ipo siku isiyo na jina ambayo wafuasi wa Chadema watagundua kuwa walichangishwa pesa huku wakihadaiwa kuwa cheamanj kasusa kumbe "kishawapiga".Wakati ni huu, kesho ikifika mshachelewa. Mtalia! Mtalia! Mtalia!

Kuna kila viashiria ruzuku ya hadi tarehe ya leo 30.06.2021 "imevutwa",wanapangusa midomo huku wakichekea tumboni.

Tuimarishe uchumi kwanza.
Poor thread from a retarded brain.
 
Ndugu zangu,

Ajizi nyumba ya njaa kwa wenye uelewa na mambo ya serikalini leo ndio mwisho wa mwaka wa hesabu za serikali hivyo maafisa masurufu yawapasa warudishe pesa zote zilizopangwa kutumika lakini hazijatumika.

Ipo siku isiyo na jina ambayo wafuasi wa Chadema watagundua kuwa walichangishwa pesa huku wakihadaiwa kuwa cheamanj kasusa kumbe "kishawapiga".Wakati ni huu, kesho ikifika mshachelewa. Mtalia! Mtalia! Mtalia!

Kuna kila viashiria ruzuku ya hadi tarehe ya leo 30.06.2021 "imevutwa",wanapangusa midomo huku wakichekea tumboni.

Tuimarishe uchumi kwanza.

Palikuwa na uzi hapa ulikuhusu mkuu:


Mwongozo wako tafadhali.
 
Hizi ndio akili za ovyo za vijana wetu wengi na utaona watakavyo support huu ujinga wa mleta mada.

Hakuna hata supporting evidence.
Ndio majority ya middle class yetu,wengi wao ni wapumbavu including mtoa hoja hii,ameandika bila ya kuambatanisha na evidence yeyote ile kama proof kutoka inapotolewa ruzuku hii.
 
nyumbu.jpg
 
Ndugu zangu,

Ajizi nyumba ya njaa kwa wenye uelewa na mambo ya serikalini leo ndio mwisho wa mwaka wa hesabu za serikali hivyo maafisa masurufu yawapasa warudishe pesa zote zilizopangwa kutumika lakini hazijatumika.

Ipo siku isiyo na jina ambayo wafuasi wa Chadema watagundua kuwa walichangishwa pesa huku wakihadaiwa kuwa cheamanj kasusa kumbe "kishawapiga".Wakati ni huu, kesho ikifika mshachelewa. Mtalia! Mtalia! Mtalia!

Kuna kila viashiria ruzuku ya hadi tarehe ya leo 30.06.2021 "imevutwa",wanapangusa midomo huku wakichekea tumboni.

Tuimarishe uchumi kwanza.
People with price tags like you,their brain is always allocated between the as*, so they think every person has the same condition... so pity .
 
Back
Top Bottom