Sijui na tatizo gani?Kila siku nikilala naota ndoto nyevu.sijui n tatizo ganI linansumbua,kila siku nikiamka surual imeolewa.Sijui na jamiana na mizuka au nifungo vya giza
Ebu wakuu nisaidien kimawazo, maana hili sio mchezo na pata mademu wengi ndoton,kuliko kiuhalisia.