Kuna Jambo baadhi yetu hatuelewi kuhusu Kikwete...


ukumbuke unadaiwa trion ishirini na ushee.
 
Presenter umeonyesha a high level of thinking, you really talked a "talk" as shaka ssali used to say,
 

Mkuu una utani na AMIRI eeh! Sasa subiri kitakachokupata. Najua system iko humu ndani inafanya sana. Ukienda msalimie MWANG........
 
Aaaaaaaaaah mtukufu ........., muheshimiwa, mkuuu wa kaya upoooooooooooooooooooo!!!!

Ni wengi kumbe hatukukuelewa dhamira yako ............... siku nyingine haturudiii tena,
Maana dizaini yako wanaopiga jaramba tushaanza kuwaona, na tunazidi kumuomba Mungu ili kosa lisijirudiee!!!!!!!!
 
Hivi nyinyi watu mnaoandika pumba kila kukicha mnatokea mikoa gani?Kwanini mnashindwa kutumia akili za kichwa tu na kujua kuwa mnachokiandika ni pumba muachane nacho coz we,re going to ignore u from there.Ngoja nijaribu kupambanua kidogo hapa chini ambapo akili yako imeshindwa kufika.i,ll touch some points from ur threeeeeeed
1.Kikwete alipoulizwa (kwanini Tanzania masikini akajibu=sijui)Hapa ametumia hekima kutoa jibu hilo,asingekuwa na hekima angejibu TANZANIA MASIKINI KWA SABABU JULIUS NYERERE AMEITIA NCHI KWENYE UMASKINI KWA KUKAA MADARAKANI 23 YEARS BILA MAFANIKIO,Ametumia mali za nchi kulijenga kanisa katoliki badala ya kujenga taifa,ametumia mali za nchi yetu akijaribu kuzikomboa nchi za afrika,ameiingiza nchi yetu ktk vita vya kanisa katoliki vya kagera,kuwafilisi matajiri wa kiislam na kudumaza uchumi wa nchi,kudumaza elimu mikoa ya waislamu wengi akidhani anawakomoa waislamu bila kujali kuwa hao ni part ya population ya taifa hili ambao taifa linawategemea kama nguvu kazi na uzalishaj na shughuli mbalimbal za maendeleo,.AIDHA,Angeweza kusema tanzania ni mackini kwasababu rais aliyepita kabla yake mwenyekiti wa makanisa Benjamn mkapa ameiuza nchi na mali zake kupitia UBINAFSISHAJI.Pia utawala wa mkapa umezaa mafisadi ambao kikwete kawarithi na kujaribu kuwashughulikia.
2.ALITAMANI KUWA AWE ANAENDA NCHI MBALIMBALI=Huu ni uchizi tu wa mtoa maada hii,labda alikua amevmbirwa nyama ya nguruwe...j kkwete b4 urais alikua wazir wa mambo y nje,alishatmbea dunia nzima,iweje useme aligombea urais ili apate fursa ya kutembelea nchi mbalimbali?
3,WOSIA WA JULIUS NYERERE(TUKIONA MTU ANANG,ANG,ANIA KWENDA IKULI TUMWOGOPE KM UKOMA)1.Yeye mwenyewe ameng,ang,ania ikulu 23yrs licha y kushindwa kuendesha nchi na kuwapa umaskini watanzania wasiostahiki.
Pili,kwa kupitia kauli hii,ni wakati wa kumkataa dr.SLAA NA CHADEMA Kwani wao ndio wanaong,ang,ania kwenda ikulu hata kwa kumwaga damu,kwahiyo wakiwatangazia kule kanisani mambo ya kumkubali SLAA ww waambie nyerere amekataza kumchagua slaa,
4.WATU WNAOTUMIA VBAYA MEDIA NA NYUMBA ZA IBADA ILI WACHAGULIWE;;;Haya pia yanamuhusu dr.SLAA na chadema so ushauri wangu ww na wenzako muhamasihane kumpinga kwani ubovu wote munauona,,,wekeni imani pembeni mjali maslahi ya taifa.
nextime uje na maada iloenda shule,otherwise jst shut up.
 
JK lives his dream! he does things without thinking and he gives his people position regardless of their records. He is just like King Pharaoh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…