Kuna haja ya uchaguzi Rwanda 2017?

jMali

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2010
Posts
8,412
Reaction score
5,013
Kwa kuwa miaka miwili kabla ya uchaguzi ujao 2017, 'Wanyarwanda walio wengi' wameamua kubadilisha katiba ili rais Kagame (na sio mtu mwingine yoyote yule), aweze kugombea urais mpaka 2034, kuna haja ya Rwanda kupoteza fedha kufanya uchaguzi wa rais 2017?

Si wangeufuta tu kupunguza matumizi magufuli style? Hao watakaompa ushindi mtu mwingine zaidi ya Kagame watatokea wapi ikiwa karibu wote wamekubali Kagame atawale mpaka 2034?
 
Nikuulize hiyo jamii inayoathirika ni ipi?
Unajua watu mnasema kila wakati hayo maneno wakati wanyarwanda halisi hawayaoni,cha kushangaza Burundi watu wanauwawa usiku kucha sijaona ukikemea hilo.
 

we jamaa ni liongo kweli, kati ya wewe uliopo kwenye key board na wale warwanda waliohojiwa na bbc na itv siku ile ya kura nani anaaminika
 

Eti genuine portrayal of Africa kumbe mzalendo kiazi tuu,kusikiliza viazi kama wewe Africa itabaki sehemu ya njaa na mauaji forever,acha Rwanda waende mbele and keep supporting viazi wenzako wa Bujumbura maana ndio akili yenu ilipoishia
 

1:Maendeleo unayo yasikia Rwanda yasingewezekana kama uhusiano wa kijamii ungekuwa mbaya,wananchi wa Rwanda hawana shida na wanaelewana, ndio maana husikii vurugu kama nchi nyingine:
Najuwa kwa hili utasema wanaogopa serikali, lakini kumbuka hata Burundi wanatumia jeshi, ingekuwa uoga hata Rwanda raia wasingeogopa:
2:Godefroid Niyombare ambaye alikuwa kiongozi wa mapinduzi yaliyo fail ni Mhutu na alikuwa mmoja wa ma General katika jeshi la CNDD/FDD la Nkurunziza; sasa sijui taifa unaloliongelea ni lipi;
 
Nikuulize hiyo jamii inayoathirika ni ipi?
Unajua watu mnasema kila wakati hayo maneno wakati wanyarwanda halisi hawayaoni,cha kushangaza Burundi watu wanauwawa usiku kucha sijaona ukikemea hilo.

Wauaji unawajua naamini maana wanatokea hukohuko kagameni!
 

Sasa Godefroid Niyombare yupo wapi ? Na baada ya mapinduzi kushindwa alichukuliwa hatua gani ? Mimi nawashangaa baadhi ya wahutu kuwasaliti wenzao. Hivi unadhani kweli Niyombare ndio angekuwa rais iwapo mapinduzi yangefaulu ? Nyuma ya Niyombare kulikuwa na Buyoya, Sinduhije, Hussein na PAKA mwenyewe kama mfadhili. Mwaka 2003,kulikuwa na mapinduzi ya kijeshi, aliyekuwa kinara wa mapinduzi ni Fran?ais Ngeze (muhutu) lakini hali ilivyotulia tu, Buyoya akadandia kiti cha urais. Ya 2003 ndio yalitaka yatokee tena.
 
Haja ipo japo najuwa Kagame atashinda tena.si wanampenda? Teh teh teh mbona toka tupate uhuru ccm inashinda kila mwaka wa uchaguzi na haijawahi kusitishwa.
 

Huna hoja wewe umekalia ubishi wa kifala tuu,Rwanda don't need fake analyst kama wewe mnaotafuta umaarufu kwenye keyboards,keep defending viazi wenzako...and ulitaka kuchomekea Tutsi ndio walioongoza mapinduzi wenye data wamekuumbua sasa unakimbilia eti oooh ana support ya Kagame na kabila la Tutsi, whats next Mr very Honestly..?
 
Wauaji unawajua naamini maana wanatokea hukohuko kagameni!

Nyie what you commited 94 hamna mtu mwenye akili timamu atawasikiliza kwa lolote,kelele zenu mnapoteza muda tuu,pigeni kelele tuu ikifika time mtashughulikiwa accordingly
 

Mkuu
Mi sijui siasa za rwanda lakini toka 1990 walipo toka kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe kagame ameweza kuwaletea maendeleo wananchi wake kiasi ambacho wananchi asilimia kubwa wanamuunga mkono pia ameweza kuwaunganisha na kuwa wamoja.

Corruption Tanzania uko juu kuliko rwanda, development rwanda iko huu kuliko Tanzania, umasikini watanzania ni masikini zaidi na wengi mno kuliko rwanda.

Tuwaachie wenyewe rwandan waamue.
 
Nikuulize hiyo jamii inayoathirika ni ipi?
Unajua watu mnasema kila wakati hayo maneno wakati wanyarwanda halisi hawayaoni,cha kushangaza Burundi watu wanauwawa usiku kucha sijaona ukikemea hilo.

Ya Burundi ndio yatahamia kwa Rwanda.
 

Vita vikianza wanakimbilia kwetu,

Hivyo hatuwezi kuwaacha bila kusema neno.
 
jamii gani hiyo tena? ya nyinyi mlioamuwa kujifukuza nchini? bora mfie hukohuko, hawa ndi wenye umuhimu kwetu... enjoy it! https://www.youtube.com/watch?v=4m9bVoG9DsE
 
unafiki umekuzidi kiasi kwamba umeongea point bila ya wewe mwenye kutambua! sasa mbona hii account yako mpya inachemsha sana? cc: vyuma
 
yani hatma ya extremist INGABIRE VICTOIRE ndio itakupa mwelekeo wa future ya Rwanda? nilikuwa sijuwi kwamba ma extremist mnapendana hivyo! good luck...
 
Mimi ningekuwa Kageme nisingegombea, bali ningelipendekeza chama kimpate mtu mwingine agombee 2017
 
Nyie what you commited 94 hamna mtu mwenye akili timamu atawasikiliza kwa lolote,kelele zenu mnapoteza muda tuu,pigeni kelele tuu ikifika time mtashughulikiwa accordingly

Na nani ? Manyanyaso mnayowapa wahutu wa Rwanda yatakuja kuzaa haki muda ukifika. Burundi mlifanya hayahaya, wananchi wakichagua rais muhutu mnaua, sasa wahutu wa Burundi wamekataa ujinga wenu, ! Wa Rwanda, wapo tu wanawavutia kasi, mtajuta.
 
unafiki umekuzidi kiasi kwamba umeongea point bila ya wewe mwenye kutambua! sasa mbona hii account yako mpya inachemsha sana? cc: vyuma

Mkuu mchambawima1, kwa mara nyingine nakuuliza,jMali alikukosea nini ? Mbona unachuki kubwa sana juu yake ?Au unakasirishwa na ukweli anaousema? Binafsi jMali simfahamu zaidi ya kuona post zake na comment zake! Na katika hayo sioni tatizo kwake maana anayoyasema ni kweli tupu. Hebu tujuze tatizo ni nini ?
 
Tanzania inahusishwaje na huu mjadala? Weka facts kudhibitisha madai yako kwamba watanzania ni masikini sana kuzidi wanyarwanda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…