chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
Baada ya kuteua wakuu wa mikoa wiki chache zilizopita, Rais amewabadili kinyemela, wakuu wa mikoa ya Lindi na Shinyanga! wakati huo huo Nape Nauye, DC wa Masasi anasikika akiwa nje ya kituo chake cha kazi! Uwajibikaji hapa uko wapi? Anafanya kazi za CCM zaidi kuliko za serikali! Hii inaonesha kuwa kumbe hatuwahitaji Ma DC! Kuna haja ya kukomesha nafasi za wakuu za wilaya na wale wa mikoa kwani hazina TIJA kwa maendeleo ya Taifa!