Nandagala One
JF-Expert Member
- Aug 19, 2020
- 1,781
- 2,135
Wanajamvi,
Moja kwa moja kwenye maudhui.
Kamatakamata ya Viongozi wakuu na makada wa CHADEMA, imemletea mfadhaiko mkubwa mkuu wa nchi, kutokana na Matokeo yake watu walivyopokea Tanzania hasa Vyombo vya Habari, Mitandao ya Kijamii na Jumuiya ya Kimataifa.
Kwa sasa habari ya CHADEMA ndiyo habari ya mjini, kutokana na hilo mkuu wa nchi amepanga kufanya mabadiliko ya Baraza, Wakurugenzi, Ma DC, lengo ikiwa ni kuizima habari ya CHADEMA ambayo imekuwa inabamba kwa sasa.
Katika uteuzi huo anatarajiwa kupata teuzi msanii mmoja wa Comedy ambaye hana elimu ya kutosha kushika nafasi ambayo haikutarjiwa na wengi.
Huyo atakuwa centre ya mjadala wa teuzi hizo ili watu waache kujadili habari ya CHADEMA.
Nani huyo msanii? Bambo, MUHOGO Mchungu, Ntanga Kanjibai au Joti?
Stay tuned.
Pia soma: Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya
Moja kwa moja kwenye maudhui.
Kamatakamata ya Viongozi wakuu na makada wa CHADEMA, imemletea mfadhaiko mkubwa mkuu wa nchi, kutokana na Matokeo yake watu walivyopokea Tanzania hasa Vyombo vya Habari, Mitandao ya Kijamii na Jumuiya ya Kimataifa.
Kwa sasa habari ya CHADEMA ndiyo habari ya mjini, kutokana na hilo mkuu wa nchi amepanga kufanya mabadiliko ya Baraza, Wakurugenzi, Ma DC, lengo ikiwa ni kuizima habari ya CHADEMA ambayo imekuwa inabamba kwa sasa.
Katika uteuzi huo anatarajiwa kupata teuzi msanii mmoja wa Comedy ambaye hana elimu ya kutosha kushika nafasi ambayo haikutarjiwa na wengi.
Huyo atakuwa centre ya mjadala wa teuzi hizo ili watu waache kujadili habari ya CHADEMA.
Nani huyo msanii? Bambo, MUHOGO Mchungu, Ntanga Kanjibai au Joti?
Stay tuned.
Pia soma: Uteuzi: Lukuvi, Kabudi warejeshwa Baraza la Mawaziri, Ummy aondolewa Wizara ya Afya. TTCL, TAKUKURU zapata Mabosi wapya