Chingabwoy
New Member
- Dec 16, 2020
- 4
- 5
Elimu ya chuo inamjenga kijana kujiimarisha zaidi katika kile anachosomea, lakini kumekuwa na msomgamano wa masomo mengi ya ziada ambayo kwenye soko la ajira hayatambuliki.
Kwa mfano mwanachuo wa UDOM anayesoma elimu ya Geografia na mazingira badala ya guiding yake kubase na kuyapa muda wa kutosha masomo yanayohusiana na Geography anatumia muda mwingi kuanzia mwaka wa kwanza mpaka anamaliza kusoma vitu ambayo sio specific na sio professionalism yake kwa mfano RURAL PLANNING, AGRICULTURE, URBAN PLANNING, ENTREPRENEURSHIP, na kozi nyingine.
Kwanini wasisome walengwa wa hayo mambo maana kama nipo sehemu ya specialisation na siwezi kuomba kazi kwenye tourism, kwenye planning nasoma chuoni ili yanisaidie nini? Maana kama basis ya hivyo vitu nimesoma toka Secondari na advance chronic vya nn?
Kwa mfano mwanachuo wa UDOM anayesoma elimu ya Geografia na mazingira badala ya guiding yake kubase na kuyapa muda wa kutosha masomo yanayohusiana na Geography anatumia muda mwingi kuanzia mwaka wa kwanza mpaka anamaliza kusoma vitu ambayo sio specific na sio professionalism yake kwa mfano RURAL PLANNING, AGRICULTURE, URBAN PLANNING, ENTREPRENEURSHIP, na kozi nyingine.
Kwanini wasisome walengwa wa hayo mambo maana kama nipo sehemu ya specialisation na siwezi kuomba kazi kwenye tourism, kwenye planning nasoma chuoni ili yanisaidie nini? Maana kama basis ya hivyo vitu nimesoma toka Secondari na advance chronic vya nn?