Kuna haja gani kujenga uzio?

Kuna haja gani kujenga uzio?

kisokolokwinyo20

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2019
Posts
472
Reaction score
424
Wakuu, naomba kujua kama ni vema sana kuendelea na hii kasumba ya kujenga nyumba halafu unazungushwa ukuta mrefu kabisa!

Naona kuta hizi zinaleta matengano makubwa katika jamii yetu!!
 
Hahaaaa nilikua nikitembelewa Sana na majirani lakini baada ya kuweka ukuta anytime gate limefungwa mpaka ugonge kwa kwel majirani siwaoni tena labda awe na hitaji kubwa na Kwangu Ndo aje
 
Fence, Google fence ni nini?
Na faida za fence ni zipi?

Utengano wa kijamii ni vile ww unajiweka na Familia yako Kama unawafungia watoto ndani lazima waje kuwa madomo zege, lazima mjifunze kualikana katika sherehe mbali mbali pia lazima ujifunze kuacha majivuno na maringo baina yenu kwani Utengano wa kijamii hautokani na fence Bali hutokana na hayo mambo......

Faida za fence ni ulinzi na usalama wa nyumba, urembo wa nyumba, usiri wa nyumba not last but least kuepusha migogoro ya mipaka ya viwanja baadae kwani fence hujengwa angalau kwa kuacha mita moja nyuma ya mpaka wako na jirani yako nae hivyo hivyo hii yote husaidia endapo Kuna eruptions of fire magari yaweze ingia kuuzima moto....

Wengine wataongezea..
 
Ukuta ni for security and privacy purposes. Kama hakuna Threats za hizo factor si lazima kujenga ukuta
 
Nakosa tu hela niweke ukuta lakini ukuta umekuwa
1. Moja ya urembo wa nyumba
2. Kupunguza vibaka( security)
3. Kusumbuana sumbuana na majirani
4. kuhifadhi eneo lako vizuri (environment)
5. Kuhifadhi mipaka ya eneo lako vizuri
 
Nakosa tu hela niweke ukuta lakini ukuta umekuwa
1. Moja ya urembo wa nyumba
2. Kupunguza vibaka( security)
3. Kusumbuana sumbuana na majirani
4. kuhifadhi eneo lako vizuri (environment)
5. Kuhifadhi mipaka ya eneo lako vizuri
Kweli... Ukuta ni muhimu sana maana hata kama mtaa hauna vibaka bila ukuta siku wakiwatembelea kutoka mbali wanaingia ndani km kwao vile.
Kingine watu hupenda kupanda miti ya matunda na kuacha vitu vingi tu vya thamani nje usiku, ukuta unapunguza tamaa ya wezi kuja kwako.
 
Back
Top Bottom