Gabrieli lucas
Member
- Nov 22, 2017
- 37
- 16
Jaman naomba kuuliza kuna faculty ya tourism Dodoma
Uko sawa tu tatizo kuchanganya kiswahili na kingerezaFaculty na maanisha course
Ama nimewrong apoooo
Ahaaaa kumbeee ningepaswa kusema kitivoUko sawa tu tatizo kuchanganya kiswahili na kingereza
Naomba unsaidie website yao kama unaijuaIngia kwenye website yao utaweza kuona kila kozi zitoleazo udom.
NdioAhaaaa kumbeee ningepaswa kusema kitivo
Oky sawasawaNdio
Si ukaulizie kusoma enginiaringi au udakatari?Jaman naomba kuuliza kuna faculty ya tourism Dodoma
Af samahan ndg hv we uko aware na haya mambo ya vyet vya kuzaliwaNdio
M cna mpango na hvyoo nataka kujua tu kuhusu tourismSi ukaulizie kusoma enginiaringi au udakatari?
Kuna chuo cha utalii karibu na IFM. Ila acha kuwa na mawazo ya kusoma kozi kama hizo. Mwanaume lazima upande milima na mabonde upasue. Akina nyie ndo mnatukana PhD za akina JPM za kemiaM cna mpango na hvyoo nataka kujua tu kuhusu tourism
Udom.ac.tzNaomba unsaidie website yao kama unaijua
Sorry lkn
Inaitwa BATCHJaman naomba kuuliza kuna faculty ya tourism Dodoma
Ay naxhukur xana mwari wa giningInaitwa BATCH
Upo wrong..faculty ni kitivoFaculty na maanisha course
Ama nimewrong apoooo
Andika kama msomi..Hamnaaa xaxa iyo inadepend na comb nliyosoma advance