kuna anayetumia Phoenix OS

Vhagar

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
20,774
Reaction score
40,445
Aje anipe uzoefu wake nimeikuta mahali huku mtandaoni inapendeza naona ina features kama za andoid.








cc Chief-Mkwawa
 
Sio ina feature Kama Android, hio ni Android.

Kuna project inaitwa Android x86, ambayo inaport Android kwenye pc then wachina wanaimodify na kuweka majina yao, Kuna Phoenix os, remix os etc.

Kama una ki laptop Cha zamani unaweza kukipa nguvu na hio.
 
hasa ndio nilikuwa na lengo hilo nitafute kilaptop cha kidwanzi niweke hiyo os.
 
Sababu laptop ya kisasa yenye ram ya kutosha huna haja kuweka Android, unaweka windows, then Android unafanya tu emulation kwa kuweka software Kama BlueStacks ama Nox.
Hapa nimeelewa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…