Kuna aliyeonja keki ya taifa? Mimi bado

Kuna aliyeonja keki ya taifa? Mimi bado

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,316
Reaction score
7,137
upload_2018-7-5_12-37-2.jpeg
 
bei poa ya umeme, umeme umekuwa gharama nafuu karibu kila mtu anaumdu
 
Tunatofautiana na kila mtu anaijua Keki ya taifa ipi, mimi najua keki ya Taifa ni Shilole na sijaimega bado.
 
Mi na subiri uchaguzi serikali za mitaa. Mwaka wa uchaguzi uliopita tuliunda timu ya mpira m/kiti na mbunge walikuwa wapole sasa sasa hivi tunapishana kama daladala za mwendo kasi, na wasubiri kwa hamu sana ni mege keki yangu
 
Mimi nilidoj sana chuo,ela ya boom na field nilikua nafungulia miradi.Nadaiwa mil 10,kwa kweli mimi nimeshachukua changu tayari na sasa nipo mbali.Siidai serikali wala yenyewe hainidai sababu hajira hakuna cha kuwalipa sina.
 
Elimu bure
Amani

Hizo zote ni baadhi ya cake ya taifa, au ulitaka uajiriwe ikulu?
 
Back
Top Bottom