Kuna aliyeitwa kazini SUMATRA?

Kuna aliyeitwa kazini SUMATRA?

Mikeyy

Senior Member
Joined
Jul 8, 2015
Posts
106
Reaction score
35
Kwa wale tuliofanya oral interview mwezi wa 10, je kuna aliyeitwa kazini?
 
Watu Ni Wiki ya Pili wapo Mafunzo, Ili Tarehe 2/01/2016 Waanze Mzigo bila Kuchelewa: Hapa Kazi Tu.
 
Watu Ni Wiki ya Pili wapo Mafunzo, Ili Tarehe 2/01/2016 Waanze Mzigo bila Kuchelewa: Hapa Kazi Tu.

Mhhh! Mbona kuna jamaa yangu juzi walituma barua kwa employer wake amwandikie recomendation letter? Walituma barua wiki iliyopita!
 
Back
Top Bottom