Kumtawala mtanzania simple

Kumtawala mtanzania simple

Mohamed Mbelwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
507
Reaction score
272
Unabadilisha slogan tu

2005 kilimo kwanza , maisha bora kwa kila mtz ,nguvu mpya,hali mpya, kasi mpya,

2010 nguvu zaidi, hali zaidi, na kasi zaidi.

2015 safari ya matumaini. Elimu kwanza
 
Sidhani kama watanzania watarejea tena makosa. Wale watu uliowaona pale arusha ni kutoka mikoa mbali mbali ya nchi. STAY CALM.
 
kama kweli bado watz tunafanyiwa hv nchi inaongozwa kwa kauli mbiu! bado watu wanaambiwa safari ya matumain kweli bado wanashabikia ccm na lowasa kweli tupimwe uwezo wt wa kufikili.
 
Unabadilisha slogan tu

2005 kilimo kwanza , maisha bora kwa kila mtz ,nguvu mpya,hali mpya, kasi mpya,

2010 nguvu zaidi, hali zaidi, na kasi zaidi.

2015 safari ya matumaini. Elimu kwanza

Umesahau " Maamuzi Magumu". Huyu mtu CCM wakimteua, halafu wananchi wakaja kumpa ridhaa ya kushika dola, basi kutoka hapo kutakuwa hakuna shaka yoyote kama wananchi wa Tanzania wataingizwa kwenye kitabu cha GUINESS.
 
Yaani ni kama imelaaniwa Tanzania. Heri hata Ng'ombe kuliko watanzania wa ajabu kama hawa wa kumshabikia Mamvi.
 
Unabadilisha slogan tu

2005 kilimo kwanza , maisha bora kwa kila mtz ,nguvu mpya,hali mpya, kasi mpya,

2010 nguvu zaidi, hali zaidi, na kasi zaidi.

2015 safari ya matumaini. Elimu kwanza
Amegundua vijijini kuna vijana hujaza masandukuni nguo za kampeni kwa matumizi yao baadae, hakuna lingine wanalowaza bora kumekucha.ILA EL NI MBINAFSI AKIPEWA WATAKOMA
 
Mimi namwinulia mikono juu Mungu atuepushe kuendelea kuwa chin ya rais wa ccm.
 
Watanzania tuna akili kama za kuku,tunadanganywa tunakubali

Amegundua vijijini kuna vijana hujaza masandukuni nguo za kampeni kwa matumizi yao baadae, hakuna lingine wanalowaza bora kumekucha.ILA EL NI MBINAFSI AKIPEWA WATAKOMA

Yaani ni kama imelaaniwa Tanzania. Heri hata Ng'ombe kuliko watanzania wa ajabu kama hawa wa kumshabikia Mamvi.

Hivi vugu vugu la katiba mpya limeishia wapi?

Umesahau " Maamuzi Magumu". Huyu mtu CCM wakimteua, halafu wananchi wakaja kumpa ridhaa ya kushika dola, basi kutoka hapo kutakuwa hakuna shaka yoyote kama wananchi wa Tanzania wataingizwa kwenye kitabu cha GUINESS.

Yaani ni kama hatuna vichwa. . . . . .

Watanzania tufunge tukiomba huyu Lowassa asije akapewa nchi hii...

Sidhani kama watanzania watarejea tena makosa. Wale watu uliowaona pale arusha ni kutoka mikoa mbali mbali ya nchi. STAY CALM.

kama kweli bado watz tunafanyiwa hv nchi inaongozwa kwa kauli mbiu! bado watu wanaambiwa safari ya matumain kweli bado wanashabikia ccm na lowasa kweli tupimwe uwezo wt wa kufikili.

Unabadilisha slogan tu

2005 kilimo kwanza , maisha bora kwa kila mtz ,nguvu mpya,hali mpya, kasi mpya,

2010 nguvu zaidi, hali zaidi, na kasi zaidi.

2015 safari ya matumaini. Elimu kwanza

Taifa LA mazombi hahahahaaa hii nchi isha jifia zamani sana
 
Unabadilisha slogan tu2005 kilimo kwanza , maisha bora kwa kila mtz ,nguvu mpya,hali mpya, kasi mpya,2010 nguvu zaidi, hali zaidi, na kasi zaidi. 2015 safari ya matumaini. Elimu kwanza
Baada ya hapo yanashangilia kisha kulia lia
 
Watanzania tuna akili kama za kuku,tunadanganywa tunakubali

waombe msamaha hao ndege kuwa dhalilisha kwa kuwafananisha na akili za watanzania..kwani watanzania tuna akili. Nchi rasilimali za kutosha bado masikini miti miingi shule watoto wanakaa chini,wabunge wetu walikaa na kuongeza bei ya mafuta ya TAA ili wasichakachue,mpaka leo daraja mto WAMI gari inapita moja huku tunazungumzia kujenga fly over dar,,division 5?mara mkurabita,mkukuta,kilimo kwanza? Kuku wana akili kuriko watanzania.
 
Back
Top Bottom